Hao ni wageni wa Rais na kama umesoma vizuri mada yeye kauliza kutaka kujuwa tatizo ni nini. Hivi wewe mgeni wako akizuiliwa kusafiri hutotaka kujuwa sababu? kweli kuna watu na viatu.
huyo jamaa anapaswa kuvikwa medani ...yaani ujumbe wa rais ndo nini?yaani kama hawajafuata sheria washuke waendelee kupiga koka wasubiri mkuu wa uwanja atoe go ahead
Anataka sheria na kanuni zifatwe? au anazuia wakati sheria na kanuni zote zimefatwa? Sidhani kama atakuwa na kiburi bila kulindwa na sheria na kanuni, kuna vitu haviko sawa.
Nadhani huu uwanja unaendeshwa na kampuni ya nje, na sio Watanzania. Nina uhakika kwamba kuna taratibu hazijafuatwa ndio maana amegoma, na anastahili pongezi. Kumbuka miaka michache iliyopita Kenya Airways walilazimisha kuruka kutoka uwanja wa ndege nchini Cameroon wakati wa mvua kubwa, japo walikataliwa. Matokeo ndege ile ilianguka baada ya dakika tano za kuwa hewani, abiria wote wakafa.
Huo mkutano wa Arusha ulikuwa na viongozi wengi tu na wamekuja na ndege zao. Kwanini hii ndege ya vigogo wa Ivory Cost izuiliwe na sio hizo zingine?
Huo mkutano wa Arusha ulikuwa na viongozi wengi tu na wamekuja na ndege zao. Kwanini hii ndege ya vigogo wa Ivory Cost izuiliwe na sio hizo zingine?
Hata kama anafuata sheria,huyo nadhani ccm itamtoa kafara kupitia waziri wake mhusika.Mimi pia nipo kwenye viwanja vya ndege naona taratibu zinavyokiukwa na bado watu hao wanaruhusiwa kuondoka.Kama watumishi wote wangekuwa wana komaa kufuata sheria kila siku mngesikia habari hizo.Ila wafanykazi wengine wanakubali yaishe na amri hizi hutoka kwa watu wa ccm yaani serikali yake.Kule kupigiwa simu tu hata kama sheria zimekiukwa mwingine tayari angekuwa ameshakubali yaishe.Nchi hii haina utawala wa sheria wala kuheshimu.Nimeshuhudia mwenyewe viongozi wa ccm wakitoa amri ya mukuu wa uwanja kupandisha bendera ya ccm wakati wa maadhimisho ya sherehe za ccm.Hapo utasema nini.Meneja mwoga anakubali yaishe ili tu kulinda kibarua chake.Nina uhakika huyo siku zake zinahesabika na huu ndio utawala wa ccm,ni hovyo.Nina ushahidi wa hili.
Mkuu Zomba mbona unaonekana kama unatoa povu kinywani, sasa uchagga na hii hoja vinakuja je humu?? Wewe ni mmoja wa wanaoshinikiza watendaji kufuata matakwa ya viongozi bila kujali uvunjaji sheria na kanuni za nchi nini??Nilikuwa nafikiri ni mtu mwenye busara.
Basi huyo mfanyakazi aliyoruhusu inabidi ashitakiwe, kama hafati sheria na anafata maagizo ya simu, huyo hafai hata tone, itakuwa ni mchagga tu huyo, ndio wanapenda shortcut.
U Al Haj wake unahusu nini? kweli kuna watu na viatu.
Simu ya msaidizi wa katibu ambaye ni msaidizi wa rais. Kama kuna mambo hayako sawa, hata mimi nisingeruhu hiyo ndege iruke. Hizi simu na vimemo ndo vinavyotafuna rasilimali za nchi yetu.
Mkuu Zomba mbona unaonekana kama unatoa povu kinywani, sasa uchagga na hii hoja vinakuja je humu?? Wewe ni mmoja wa wanaoshinikiza watendaji kufuata matakwa ya viongozi bila kujali uvunjaji sheria na kanuni za nchi nini??
Sasa itakapofahamika kuwa kuna sababu kama za kuhujumu nchi au uvunjifu wa sheria amabvyo havihusiani na uchaga utatuambia nini hapa? Kaa sawa fuatilia kwa makini itakapobidi uwe tayari kula matamshi yako mwenyewe.
Ukiuke wewe mfanyakazi kutenda kazi zako huko airport uwasingizie CCM? kweli kuna watu na viatu.
Wewe ukiwa kiatu cha karatasi