Ndege iliyokuwa na ujumbe toka Ivory Coast yazuiwa kuondoka uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (KIA)

Labda kashtukia dili kuna mzigo usio halali humo ndani, safi sana keep it up, maana kuna watu wakishasikia tu, ni mzigo wa bosi au nimetumwa na bosi/rais/PM/ RC/DC na wengineo lazima geti lifunguliwe, ni mazoea ya kijinga sana, ukishasikia ni mkubwa tu tunanyenyekea na kuvunja kanuni na taratibu, keep it up, hamna kuwaruhusu hadi kuwe na sababu maalumu ya kufanya hivyo wasituone hatujaamka bado.

Hata wale wanyama wetu isngekua kuogopana labda wangesalia hapa nchini ila wapuuzi fulani waliposikia ni mzigo wa kigogo fulani au kwasababu ni ndege ya jeshi wote wakanywea, pumbafu kabisa, komaaa nao ikibidi wape maji ya kunywa
 
Simu ya msaidizi wa katibu ambaye ni msaidizi wa rais. Kama kuna mambo hayako sawa, hata mimi nisingeruhu hiyo ndege iruke. Hizi simu na vimemo ndo vinavyotafuna rasilimali za nchi yetu.

Kweli kabisa. Simu bwana haina rekodi, ndio maana kina Maige wanalalamika kuonewa. Simu zipigwe toka Ikulu kwamba waruhusu wanyama watoke na kutoa vibali vya uwindaji lakini kuwajibika wawajibishwe wao. Kama una nafasi muhimu hakikisha unapata maagizo kwa maandishi yenye jina na sahihi.
 
Nampa big up, hajazuia kwa sababu ya kijinga anauhakika na anachofanya na wakimfukuza atapewa kazi hiyo hiyo baada ya CDM kutwaa nchi 2015
 
atende kazi yake maana siku hizi waweza kuta kuna wakubwa wansafirisha wanyama wetu kwenda nje ya nchi yuko sahihi kabisa maana sina imani ameizuia bila sababu yeyote ile kuna jambo ambalo haliko sawa
 
atende kazi yake maana siku hizi waweza kuta kuna wakubwa wansafirisha wanyama wetu kwenda nje ya nchi yuko sahihi kabisa maana sina imani ameizuia bila sababu yeyote ile kuna jambo ambalo haliko sawa


Mkuu hata biashara ya madawa ya kulevya inawezekana ikawa dili la mkubwa wetu
 
Mbona umemuhukumu bila hata ya wewe kujua sakata zima.Inaonekana sorce yako ya habari ni kutoka upande mmoja. Hapo KIA kuna uchafu unafanyika kila kukicha ,kuna ndege za Cargo kubwa mno zinatua hapo na kuondoka nishazishudia mara mbili wakati nime-land hapo na zote mbili ni za falme za kiarabu,sasa sijui kuna biashara gani na hao waarabu ili hali twajua waarabu ni wazoefu wa biashara ya pembe za ndovu tokea enzi hizo.Mengi yatajulikana Baba riz akiachia ngazi.

hizo ndege za mwarabu hazitui kia acha kupotosha,wanakiwanja chao huka loliondo na hakuna mtandao wowote wa simu hata radio coll toka tanzania unaofanya kazi hapo.ukiingia tu kwenye hilo eneo unapokea ujumbe mfupi wa meseji ukisema karibu falme za kiarabu. hiyo ni kazi ya mzee mwinyi aliwapa mkataba wa miaka 90
 
Dege limesharuhusiwa hiloooo linapaaa teh teh Chezea Ikulu wewe! huyo ndo ****** halisi. kimbmbme sasa kwa Mkuu wa Uwanja KIA, lazima wakusukumie kesi ya kubaka ukanyee gerezani tena pale GEREZA LA KARANGA MOSHI Miaka 30 kwa kubaka...Si unamkumbuka Babu sea na wanawe na ile kesi ya Prof. Mahalu acha kabisa ukitofautiana na Mkuu kwenye ishu yoyote lazima akuweke sawa. teh teh!!!!!!!
 
mwalimu wake wa maadili alikuwa makini, na fikra zake ni logical.Pengine darasa alilosoma halikuwa linaboa.
 
Mkuu hata biashara ya madawa ya kulevya inawezekana ikawa dili la mkubwa wetu


Na ndiyo maana mie huwa nashangaa kwa nini serikali inakazania kuwa na airline ya taifa (national airline)? Tumeshindwa kuendesha makampuni ya mabasi, reli zote mbili lakini kwa nini tunataka lazima tuwe na national airline?

Ni madili tu ya kutorosha nyara na mihadarati, hasa pale zinapofanya safari za ng'ambo.
 
Huyu jamaa anafanya kazi yake tena anastahili kupongezwa. Kwa kawaida kila ndege inayotegemewa kutua katika uwanja inakuwa na details zake in advance na muda kamili wa kutua. Kwa hakika ni lazima kuna walakini wa hili jambo. Mkutanoa mkubwa unafanyiaka Arusha na mambo mengi yanayofananishwa na ya kidiplomat yatafanyika ili kuficha mambo fulani hivi. I tell you stakeholders wa huu mkutano ni wengi with varied motives!!!! Tena kwa Tza mambo shwari.Tehe tehe!!!!!
 
Dege limesharuhusiwa hiloooo linapaaa teh teh Chezea Ikulu wewe! huyo ndo ****** halisi. kimbmbme sasa kwa Mkuu wa Uwanja KIA, lazima wakusukumie kesi ya kubaka ukanyee gerezani tena pale GEREZA LA KARANGA MOSHI Miaka 30 kwa kubaka...Si unamkumbuka Babu sea na wanawe na ile kesi ya Prof. Mahalu acha kabisa ukitofautiana na Mkuu kwenye ishu yoyote lazima akuweke sawa. teh teh!!!!!!!

Asante sana!!! Nakuahakikisha 2015 haitafika hajamfanyia kitu jamaa huyo.Tena leo ni lazima aitwe kujieleza kwa bosi. But we want heros not Maige type ambaye hata kama alilazimishwa kupakia twiga na tembo hai angekataa na ajiuzulu na kweli tungempa sifa na kumfanya mbunge wa kudumu jimboni kwake. Matokeo yake uwaziri puuu na ubunge 2015 utakuwa puu!! Bora uwatumikie wananchi siku hizi akili zimefunguka watakupa ubunge!!
 
Saafi sana kaka acha afanye kazi yake,angeiruhusu mngeanza kusema hafanyi kazi na wizi wenu,kila kukicha mnavusha tu mizigo,rais ndo nini kwani hiko cheo amejikabidhi mwenyewe au amekabidhiwa,hivi mkipata vyeo mnajisahau sana na kujiona watu wa kutoa maagizo yoyote mnayopenda,huo ni ushenzi amba mpaka leo unaligharimu taifa letu.Tena ole wenu hii nchi mtaikimbia acheni wanyong tule mihogo na mizizi ya kila aina iko siku mtaila nyinyi, maana mnasahau hata kama kuna kufa na mnabahati ningekuwa mchawi ningewafanya mazuzu wote
 
Back
Top Bottom