bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,211
Yani kila wakati najiuliza sana, Hawa maprof sijui akili huwa wanaziacha wapi, leo Prof katoa Pongezi na shukrani Hotuba nzima
Mpaka nakaa najiuliza sana, hivi kazi ya Prof Wizara ya kazi ni Nini hasa?
Kumsifia Rais au kunisaidia Rais?
Ukitazama Hotuba aliyotoa CDR MTAKA, utagundua utofauti uliopo.
It's shamefully
Mpaka nakaa najiuliza sana, hivi kazi ya Prof Wizara ya kazi ni Nini hasa?
Kumsifia Rais au kunisaidia Rais?
Ukitazama Hotuba aliyotoa CDR MTAKA, utagundua utofauti uliopo.
It's shamefully