Ndalichako atoa hotuba iliyojaa pongezi na shukrani Mei Mosi 2022

bloggerboy

JF-Expert Member
Nov 13, 2017
568
1,211
Yani kila wakati najiuliza sana, Hawa maprof sijui akili huwa wanaziacha wapi, leo Prof katoa Pongezi na shukrani Hotuba nzima

Mpaka nakaa najiuliza sana, hivi kazi ya Prof Wizara ya kazi ni Nini hasa?

Kumsifia Rais au kunisaidia Rais?

Ukitazama Hotuba aliyotoa CDR MTAKA, utagundua utofauti uliopo.

It's shamefully
 
Yani kila wakati najiuliza sana, Hawa maprof sijui akili huwa wanaziacha wapi, leo Prof katoa Pongezi na shukrani Hotuba nzima

Mpaka nakaa najiuliza sana, hivi kazi ya Prof Wizara ya kazi ni Nini hasa?

Kumsifia Rais au kunisaidia Rais?

Ukitazama Hotuba aliyotoa CDR MTAKA, utagundua utofauti uliopo.

It's shamefully
Cha maana nyogeza atake asitake
 
Waziri wa Kazi ni Mwakilishi wa Serikali sio wa Wafanyakazi na leo msemaji Mkuu upande wa Serikali ni Mh.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

msemaji wa Watumishi ni Mwenyekiti wa Vyama vya wafanyakazi na kama mnataka mtu wa kusema shida na madai yenu basi ni huyo

ki Protocal kazi ya Waziri wa kazi leo ni ndogo sana na ndio hiyo kaifanya
 
Back
Top Bottom