Che Guevara
JF-Expert Member
- May 22, 2009
- 1,236
- 346
Fikiria hili:
Hivi kama Dr Ulimboka angeshtuka dakika kadhaa kabla ya wale watekaji na watesaji hawajamkamata na akasepa, kisha akasema kuwa maisha yake yapo hatarini na kuna watu wanataka kumdhuru au kumuua, hivi mnategemea Serikali ingesemaje? Si serikali wangekanusha tu kama hili la Slaa, Mnyika na Lema na kusema kuwa ni uzushi na kuwa Dr Ulimboka anajitafutia umaarufu?
Halafu, nani maarufu kati ya Dr Slaa, Lema na Mnyika kwa upande mmoja na Nchimbi kwa upande mwingine?
Inanikumbusha yale ya Zitto na Mkullo kuhusu umaarufu...
Mwisho wa watekaji na watesaji unakaribia...
Kidnapping and Torture ni makosa ambayo yatasababisha watuhumiwa wetu wakamatwe na kupelekwa Mahakama ya Kimataifa (ICC) ya The Hague. Kama wanadai hawahusiki na hawana hatia wakajitee huko kama akina Uhuru Kenyatta na Rutto.
Hivi kama Dr Ulimboka angeshtuka dakika kadhaa kabla ya wale watekaji na watesaji hawajamkamata na akasepa, kisha akasema kuwa maisha yake yapo hatarini na kuna watu wanataka kumdhuru au kumuua, hivi mnategemea Serikali ingesemaje? Si serikali wangekanusha tu kama hili la Slaa, Mnyika na Lema na kusema kuwa ni uzushi na kuwa Dr Ulimboka anajitafutia umaarufu?
Halafu, nani maarufu kati ya Dr Slaa, Lema na Mnyika kwa upande mmoja na Nchimbi kwa upande mwingine?
Inanikumbusha yale ya Zitto na Mkullo kuhusu umaarufu...
Mwisho wa watekaji na watesaji unakaribia...
Kidnapping and Torture ni makosa ambayo yatasababisha watuhumiwa wetu wakamatwe na kupelekwa Mahakama ya Kimataifa (ICC) ya The Hague. Kama wanadai hawahusiki na hawana hatia wakajitee huko kama akina Uhuru Kenyatta na Rutto.