Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Cha kuchekesha hapa ni kwamba hakuna anayesema serikali moja ndio suluhisho. Watu wamerogwa nini? Kama Zanzibar ni nchi na ina gharama zake, kwa nini Tanganyika isiwe nchi.
Tanganyika kukosa serikali, haina uhuru na ndio maana rasilimali zake zinaporwa hovyo, mfano madini asilimia 3%.
Mawaziri wa Tanganyika ni mawaziri wa jamhuri ya muungano?
Mambo yasiyo ya Muungano ya Tanganyika, yanawahusu nini wabunge wa Zanzibari?
Napata taabu sana kuelewa msimamo wa ajabu usio na ligic. Kwani ni sisi tu ndio tuna muungano duniani, Whta about USA, UK nakadhalika. Tusiwe dependent mind, eti kwa sababu fulani, kwa sifa zake binafi akauza uhuru wa Tanganyika
Mjadala wa katiba bila swala la Tanganyika ni Mzaha tu.:noidea:
Tanganyika kukosa serikali, haina uhuru na ndio maana rasilimali zake zinaporwa hovyo, mfano madini asilimia 3%.
Mawaziri wa Tanganyika ni mawaziri wa jamhuri ya muungano?
Mambo yasiyo ya Muungano ya Tanganyika, yanawahusu nini wabunge wa Zanzibari?
Napata taabu sana kuelewa msimamo wa ajabu usio na ligic. Kwani ni sisi tu ndio tuna muungano duniani, Whta about USA, UK nakadhalika. Tusiwe dependent mind, eti kwa sababu fulani, kwa sifa zake binafi akauza uhuru wa Tanganyika
Mjadala wa katiba bila swala la Tanganyika ni Mzaha tu.:noidea: