WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Jamani hivi kikwete na Washirika wake wameacha kutumia falsafa yao ya ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya na ile ya Maisha bora kwa kila mtanzania? Mbona siku hizi hawaitumii tena? Au mimi ndo sijasikia tu?
Hiyo ilikuwa slogan ya kupatia kura na siyo falsafa au sera!