Nchi hii inapoteza uelekeo, wasomi mko wapi?

Ina wasomi tena wengi sana, tatizo serikali imewatenga na kuwazarau ili wasifanikishe ndoto zao, bali serikali yenyewe ifanikishe malengo yake, nayotehaya yanatokana na kuwanyima ajira ata fedha za mtaji ili wajiendeleze na shuhulimbalimbali au angalau inge kuwa inajuwa wasomi wakisha maliza chuo wanaenda wapi?
Mabadiliko Mengi Duniani Yanaletwa Na Nguvu Ya Umma

Wanaharakati Lakini Mabadiliko Matakatifu Bila Rabsha Yanaletwa Na Wasomi Hivi Kwanini Hawa Wa Kwetu Wamepooza Hivi?
Hivi Nini Kimempata Shivji Hata Kubadili Msimamo Wa Kutetea Taifa Wanafunzi Wa Vyuo Vikuu Wakiandamana Ni Kwaajili Ya Mikopo Hawajawahi Kutoka Kutetea Taifa
Fedha Yetu Imekufa,wabunge Wanatumia Kodi Zetu Kujadili Bajeti Hewa. Hivi Nani Wakuwatetea Hawa Wananchi Wa Tandahimba Na Namtumbo Wasomi Wetu Semeni Serikali Hii IMECHOKAA
 
Mabadiliko Mengi Duniani Yanaletwa Na Nguvu Ya Umma

Wanaharakati Lakini Mabadiliko Matakatifu Bila Rabsha Yanaletwa Na Wasomi Hivi Kwanini Hawa Wa Kwetu Wamepooza Hivi?
Hivi Nini Kimempata Shivji Hata Kubadili Msimamo Wa Kutetea Taifa Wanafunzi Wa Vyuo Vikuu Wakiandamana Ni Kwaajili Ya Mikopo Hawajawahi Kutoka Kutetea Taifa
Fedha Yetu Imekufa,wabunge Wanatumia Kodi Zetu Kujadili Bajeti Hewa. Hivi Nani Wakuwatetea Hawa Wananchi Wa Tandahimba Na Namtumbo Wasomi Wetu Semeni Serikali Hii IMECHOKAA
Mkuu nasikitika hata we we umeshindwa kujua wauaji wa Nchi hii nihao watu mnaopenda kuwaita wasomi
 
Ha
Mabadiliko Mengi Duniani Yanaletwa Na Nguvu Ya Umma

Wanaharakati Lakini Mabadiliko Matakatifu Bila Rabsha Yanaletwa Na Wasomi Hivi Kwanini Hawa Wa Kwetu Wamepooza Hivi?
Hivi Nini Kimempata Shivji Hata Kubadili Msimamo Wa Kutetea Taifa Wanafunzi Wa Vyuo Vikuu Wakiandamana Ni Kwaajili Ya Mikopo Hawajawahi Kutoka Kutetea Taifa
Fedha Yetu Imekufa,wabunge Wanatumia Kodi Zetu Kujadili Bajeti Hewa. Hivi Nani Wakuwatetea Hawa Wananchi Wa Tandahimba Na Namtumbo Wasomi Wetu Semeni Serikali Hii IMECHOKAA
Hapa wasoma namba mpaka na wao washtuke nchi itaenda salama.
 
Nadhani topic iko wazi wasomi wa nchi wako tofauti tofauti wengini maprofesor wa Uchumi wengine elimu wengine mambo ya kijamii sasa hawa wakitumiwa vizuri na wakasikilizwa mashauri Yao huwa wanaulewa mkubwa mara nyengine kuwashinda baadhi ya wabunge ukiwatumia ipasavyo siku taifa haliwezi kwenda mrama na kulega lega wasomi na wao huona ufahari mkubwa kutoa mawazo chanya ya kafuatwa kwa mujibu taifa Lake kwenda mbele zaidi kiuchumi kiuwelewa kinidhamu kuondokana na sikia Malasia tulipata uhuru mwaka mmoja waliweza kuwatumia wasomi kwa vilivyo sasa Malasia imepiga hatua mbele mbele zaidi na zaidi Kuna kitu kimoja chauwa maendeleo ya nchi hata nchi hio ikawa full Aman Asante Sana
 
Nadhani topic iko wazi wasomi wa nchi wako tofauti tofauti wengini maprofesor wa Uchumi wengine elimu wengine mambo ya kijamii sasa hawa wakitumiwa vizuri na wakasikilizwa mashauri Yao huwa wanaulewa mkubwa mara nyengine kuwashinda baadhi ya wabunge ukiwatumia ipasavyo siku taifa haliwezi kwenda mrama na kulega lega wasomi na wao huona ufahari mkubwa kutoa mawazo chanya ya kafuatwa kwa mujibu taifa Lake kwenda mbele zaidi kiuchumi kiuwelewa kinidhamu kuondokana na sikia Malasia tulipata uhuru mwaka mmoja waliweza kuwatumia wasomi kwa vilivyo sasa Malasia imepiga hatua mbele mbele zaidi na zaidi Kuna kitu kimoja chauwa maendeleo ya nchi hata nchi hio ikawa full Aman Asante Sana
Nadhani topic iko wazi wasomi wa nchi wako tofauti tofauti wengini maprofesor wa Uchumi wengine elimu wengine mambo ya kijamii sasa hawa wakitumiwa vizuri na wakasikilizwa mashauri Yao huwa wanaulewa mkubwa mara nyengine kuwashinda baadhi ya wabunge ukiwatumia ipasavyo siku taifa haliwezi kwenda mrama na kulega lega wasomi na wao huona ufahari mkubwa kutoa mawazo chanya ya kafuatwa kwa mujibu taifa Lake kwenda mbele zaidi kiuchumi kiuwelewa kinidhamu kuondokana na sikia Malasia tulipata uhuru mwaka mmoja waliweza kuwatumia wasomi kwa vilivyo sasa Malasia imepiga hatua mbele mbele zaidi na zaidi Kuna kitu kimoja chauwa maendeleo ya nchi hata nchi hio ikawa full Aman Asante Sana
Tatizo hao unaowaita wasomi wakishaingia kwenye siasa wanakua wanafki na wachumia tumbo
 
Wasomi wa Africa ni sehemu ya matatizo ya nchi husika! Mwangalieni huyu Prof Lipumba
 
tatizo kubwa kuna watu hawataki mawazo kama yako yawafikie watu ndio maana hata bunge limezimwa taa watu wasisikie hoja kama hizo,na baadae wana mpango wa kuziwia hoja kama hizo humu kwenye mitandao hata siasa zimepigwa marufuku ambapo ndio kwenye uwanja wa kusemea hayo
 
Kabla hujasema iwapo tumepoteza uelekeo au la ungetuelimisha uelekeo tuliokuwa tukiufuata ambao kwa mantiki ya hoja zako ulikuwa sahihi. Mimi naona hatuna budi kupoteza mwelekeo uliokuwa ukitupeleka kuzimu ili tupate mwelekeo mpya japo wengi wetu hatuna uzoefu nao.
 
Back
Top Bottom