Akiomba muongozo wa spiker Mwigula Mchemba amesema ametishiwa kuuwawa na baadhi ya wabunge wa Chadema kwa kumtumia sms akilinganisha na tukio la kuuwawa kwa kijana wa uvccm iramba.
Tumemsikia...anajifanya Msomi kumbe hata kanunu hazijui.. eti anaomba hoja binafsi na ya dharura, naona anatapatapa tu. muuaji anajistukia. burn karudi
Ataka shuhuli za bunge zihairishwe wajadili mauaji yaliyotokea singinda kama jambo la dharura kwa taifa, adai kutishiwa kifo na wabunge wa chadema kwa njia ya sms.
My take: Kweli si si em wamefilisika kisiasa mpaka wanafikia hatua ya kutumia mauaji kama mtaji wao wakisiasa, nahuyu mchemba nawasiwasi na uwezo wake wakufikiri nakupambanua mambo, yaani mgomo wa madactari, namengine mengi yanayo sababishwa na serikali ya CCM hayaoni kuwa na msingi , hili la shabiki wa sisiem aliyepita kwenye mkutano wa CDM tena kuna uwezekano ni wao walimtuma na kupandikiza watu watakao mpiga ili CDM ionekane haifai..sisi wananchi tunaimani na CDM kama mtetezi wa haki zetu wanyonge, pia mkombozi wa rasilimali zetu kutoka mikononi kwa wanyonyaji.
Sijaenda darasani kama Mwigulu ila najiona nimesoma kuliko mwigulu...auawe for what
Mnyika, Tundu Lissu, J. Mbilinyi, Zitto wameshindwa kutafsiri Kanuni za Bunge mara ngapi? Mbona wao hamuwaiti vilaza?