Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
hivi kile chama changu ccm kilikufa mwaka gani?na hiki kipya kilichochukua sura ya chama changu na kuvaa nguo za chama changu kilizaliwa mwaka gani?
na kama kile changu kilikufa msimamizi wa mirathi yuko wapi?
na kama hakuna msimamizi wa mirathi hata mahakama imeshindwa kutusaidia?
na nyie mnaojiita ccm japo si wenyewe mbona hata redio mlizorithi kila siku saa 11 na robo mnaweka wosia wa baba(mwasisi wa ccm yangu)ina maana mnatusikiliza tu sisi nyie mkiwa mnasikiliza mabuzuki?
kweli ukishangaa ya musa.................................
na kama kile changu kilikufa msimamizi wa mirathi yuko wapi?
na kama hakuna msimamizi wa mirathi hata mahakama imeshindwa kutusaidia?
na nyie mnaojiita ccm japo si wenyewe mbona hata redio mlizorithi kila siku saa 11 na robo mnaweka wosia wa baba(mwasisi wa ccm yangu)ina maana mnatusikiliza tu sisi nyie mkiwa mnasikiliza mabuzuki?
kweli ukishangaa ya musa.................................