Ni mambo ya kishirikina umepewa mwiko?I appreciate your concern Mkuu. Be blessed.
The bad thing about my story ni kuwa "naumizwa sana na mambo ambayo ni mwiko kusema."
Kuna moments huwa nasikia uchungu mpaka kifua kinawaka moto, saa nyingine mpaka nalia, na kujifariji mwenyewe. Highly probable this is my Fate..!
I won't kill myself though.
Ulimjibu simple tu bi dadaChangamoto ni hapa,aliniambia nitakuwa nafanya kazi ya kutunza miche ya matunda na bustani pia kuisambaza kwa wateja.
Kisochoridhisha ni kwamba hana hata housegirl,hivyo nimekuwa houseboy na housegirl pia,nimekuwa ndo nasqmbqza miche yake,na ana mtoto wa kiume 20yrs yupo kama mental akili hazipo sawa alifeli std 7 na karudia QT mara 4 na mara hii kapata 0 tena,hapq kanifanya mwalimu natakiwa kumfundisha kuandika,english,hesabu na stadi za maisha,mbaya hata kuongea hawezi hivyo natakiwa kumfundisha but no makubaliano ya kuwa mwalimu wala mfanyakazi za ndani na malipo ni yaleyale 50k.
Imagine kufundisha mtoto mwenye matatizo ya akili muda wote lawama tu.
Na usikosee kitu sasa utasemwa hadi basi,ndo nikaelewa kwann alinihitaji,kumbe ili niwe mwalimu wa mwanae.
Kingine siruhusiwi kutoka getini,imqgine nimekuja dar ili niwe nasaka na fursa zingine halafu mtu akwambie uwe ndani tu chance ya kufanikiwa ni ndogo.
Now nasoma computer kwa kuwa tu na mwanae anasoma hapa na najua anaexpect mwanae afaulu through mimi licha ya changamoto za mtoto mwenyewe.
HII NDO LAST SMS YAKE NIKAMJIBU KOMAA TU CHANGAMOTO HAZIKOSEKANI...
Naomba mawasiliano yako nime kupm lakini naona umefunga pmNdama dume,
Mimi pia alitaka sana kuja tufanye wote kazi..lakini akakiri hizi kelele za machine zitamsunbua zaidi .na nilipoona hata kuongea vzr hawwz nikamuweka bench..rip Robin..nilikusaidia nilipoweza
Bwana kaduga, Namwombea tu Mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
Siijui kesho yangu,
Moyo umefadhaika mno.
Sent using Jamii Forums mobile app