aliyechoka
Member
- Mar 16, 2012
- 23
- 4
Wana JF Naomba mnijuze kama naweza kusoma degree kwa kutumia matokeo ya certificate, nina second upper class! naomba mnijuze
kweli wewe umechoka,,utarukaje certificate mpaka degree bila ya kusoma diplomawana jf naomba mnijuze kama naweza kusoma degree kwa kutumia matokeo ya certificate, nina second upper class! Naomba mnijuze
Wana JF Naomba mnijuze kama naweza kusoma degree kwa kutumia matokeo ya certificate, nina second upper class! naomba mnijuze