Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,160
Wanajf,nawapenda sana.
Mmekuwa zaidi ya ndugu kwangu!Hata nikiwa na hasira na stress nikiingia humu najisikia faraja sana
Kuwepo nanyi nimepata mafundisho na changamoto nyingi.
Nawashukuruni wote na Mungu awabariki.
Mmekuwa zaidi ya ndugu kwangu!Hata nikiwa na hasira na stress nikiingia humu najisikia faraja sana
Kuwepo nanyi nimepata mafundisho na changamoto nyingi.
Nawashukuruni wote na Mungu awabariki.