Hivi wewe ni SHE au HE?Mbona mnamsumbua dada Julieth?
Anauza GALI bana!
Gali ziko dar es salaam mbezi beach, serious buyer aje kuziona. Piga simu 0754002900 au 0754002700.
Juliet mbona umeingia mitini au wewe ni dalali nini? show your response please! wadau tunataka kujua BEI, KM ilizotembea, CC ngapi? Kuendeshwa na mwanamke sio kigezo ,kwani akiendesha mwanamke injini haitembei au tairi hazizunguki?
Hivi wewe ni SHE au HE?
jamani kwani akiwa mwanamke lazima awe Dada??? aweza kuwa umri wa kabinti kako, au pia aweza kuwa kikongwe. huyo ni Julieth John na siyo Dada Julieth!Dada Julieth.
wewe ni fisadi? Nauliza tu
Tokea lini SHE akawa na kifua design hiyo na misuli kwenye mkono!
Gali ziko dar es salaam mbezi beach, serious buyer aje kuziona. Piga simu 0754002900 au 0754002700.
ANAUZA GALI????JULIET JOHN ANAUZA GALI SIO KAMA KONA NA JOLLY KULE NI NAFUU,JULIET YEYE ANAUZA GALI mh;;