KasomaJr
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 367
- 139
Habari wana-JF.
Ninauza kiwanja kina nyumba ndogo pembeni yenye chumba kimoja, dinning na choo pamoja (selfcontained). Nyumba ndogo haijakamilika, bado paa na finishing zingine kama milango na madirisha, sakafu na decoration zingine. Eneo la wazi ni kubwa kuweza kujenga nyumba ya bedroom 3-4, toilet& shower, dinning na sitting room na bado kutakuwa na eneo la parking.
Eneo: Ni mji mwema, Ungindoni.
Vielelezo: Vielelezo vyote vya umiliki ninavyo.
Dokezo:Mtu mwenye nia ya dhati ani-pm kwa maelekezo zaidi.
Asanteni.
Ninauza kiwanja kina nyumba ndogo pembeni yenye chumba kimoja, dinning na choo pamoja (selfcontained). Nyumba ndogo haijakamilika, bado paa na finishing zingine kama milango na madirisha, sakafu na decoration zingine. Eneo la wazi ni kubwa kuweza kujenga nyumba ya bedroom 3-4, toilet& shower, dinning na sitting room na bado kutakuwa na eneo la parking.
Eneo: Ni mji mwema, Ungindoni.
Vielelezo: Vielelezo vyote vya umiliki ninavyo.
Dokezo:Mtu mwenye nia ya dhati ani-pm kwa maelekezo zaidi.
Asanteni.