NAUNGA MKONO RASMI KAULI YA NYANI-JULIUS-miafrika ndivyo ilivyo!

Teamo

JF-Expert Member
Jan 9, 2009
12,272
1,035
kwa nilivhokiona uwanja wa taifa mpya wakati wa mechi ya simba na yanga,WITH MY NAKES TWO EYES....!naomba nikubaliane na nyani julius kwamba MIAFRIKA NDIVYO ILIVYO!pia naunga mkono thread ya Yo Yo aliwahi kusema WABONGO HATUTUMII AKILI!.....
attachment.php
 

Attachments

  • taifa.jpg
    taifa.jpg
    74 KB · Views: 339
Hii ni AIBU! AIBU! tutaelimika lini? sisi kweli ni masikini wa mali ila zaidi ni FUKARA wa akili waliotengeneza huo uwanja watakuwa wanatucheka sana. nalaani kwa nguvu zangu zote kitendo hicho cha kifedheha halafu waliofanya hicho kitendo ni sisi wanaume hakuna mwanamke angeweza kupanda pale na evidence from the picture inadhihirisha wazi. AIBU JAMANI DA!
 
Dah hii kitu iliniuma sana sikuamini macho yangu ni aibu mno tena mno watu wamezoea vyoo vya shimo.
 
Na mtu asipolaani hichi kitendo kwa maandishi hapa atakuwa nae ni kati ya waliochojoa pale.
 
Na mtu asipolaani hichi kitendo kwa maandishi hapa atakuwa nae ni kati ya waliochojoa pale.

Nawalaani washenzi wote waliofanya huo upuuzi. Naomba kwa Mungu biology zao zipokonywe nguvu zao ili sisi wastaarabu tuwamegee wake zao. Shenzy type zao!
 
Nawalaani washenzi wote waliofanya huo upuuzi. Naomba kwa Mungu biology zao zipokonywe nguvu zao ili sisi wastaarabu tuwamegee wake zao. Shenzy type zao!

najiuliza ni kwa nini mtu anaishi hivi?
 
Nawalaani washenzi wote waliofanya huo upuuzi. Naomba kwa Mungu biology zao zipokonywe nguvu zao ili sisi wastaarabu tuwamegee wake zao. Shenzy type zao!

hA HA HA HA, HII AZABU NI KALI SANA MIMI NAOMBA WAOTE MABUSHA MAKUBWA KAMA TUNDA AINA YA FENESI ILI WAONE AIBU KUTOE SINDANO ZAO HADHARANI NA KUCHOJOA HOVYO.
 
Nawalaani washenzi wote waliofanya huo upuuzi. Naomba kwa Mungu biology zao zipokonywe nguvu zao ili sisi wastaarabu tuwamegee wake zao. Shenzy type zao!

Hii kali nilikuwa sitaki kukubaliana na mpwa kuhusu hiki kitendo cha hawa jamaa lakini kwa dua hii naunga nanyi asilimia mia ili na tuwafaidi wake zao. Kuna demu kanionyesha pia picha alipiga choo cha kike yani utajiuliza hilo pozi lilikuwa hadi wakafikisha mkojo sink ya kunawa.
 
Hawa ni mashabiki wa Simba ni fraha zao kushinda.

Ha!ha!ha!ha!ha!aaa homeboy hatimaye umerudi? Pole lakini nilikuonya mapema!!

BWT: Hivi kwani urinals hamna mpk jamaa watie timu kny sink za kunawia? ...anyway inanikumbusha uform one....metoka bush, vyoo vya kulenga....school mambo ya masink......! ushamba umetuzidi!
 
Ha!ha!ha!ha!ha!aaa homeboy hatimaye umerudi? Pole lakini nilikuonya mapema!!

BWT: Hivi kwani urinals hamna mpk jamaa watie timu kny sink za kunawia? ...anyway inanikumbusha uform one....metoka bush, vyoo vya kulenga....school mambo ya masink......! ushamba umetuzidi!

nilikuwa kati kati ya kundi la wana yanga jumamosi.sambamba kabisa na mkuu tajwa hapo juu!heri usimuliwe kuliko kuwaona wana yanga LIVE walivyolowa
 
Nadhani hakuna njia ila kuweka CCTV camera mpaka kwenye vyoo. Kama waTZ wamefikia hatua ya kukosa ustaarabu kiasi hiki basi wawe tayari kuchunguliwa na Camera masaa yote.
Najua wengine watasema kuweka CCTV camera ni ku-invade privacy ya mtu, lakini watu waliokosa adabu kama hawa kwanini uheshimu privacy yao?
 
Nadhani hakuna njia ila kuweka CCTV camera mpaka kwenye vyoo. Kama waTZ wamefikia hatua ya kukosa ustaarabu kiasi hiki basi wawe tayari kuchunguliwa na Camera masaa yote.
Najua wengine watasema kuweka CCTV camera ni ku-invade privacy ya mtu, lakini watu waliokosa adabu kama hawa kwanini uheshimu privacy yao?

swadakta!YOU CAN SAY IT AGAIN
 
wabongo tunapojidhalilisha:
attachment.php
 

Attachments

  • taifa 2.jpg
    taifa 2.jpg
    104.8 KB · Views: 94
Mbona SHE amachangiii hii mada au na nyie kwenu kuna mtu alimaliza kbs?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom