NAUNGA MKONO RASMI KAULI YA NYANI-JULIUS-miafrika ndivyo ilivyo!

hapana lazima kuna upungufu mahali,maana inaeleweka hayo masinki si sehemu ya kukojolea kwa nini wafanye hivyo?KWA kawaida wanaume si huwa mna vijisehemu vyenu vya kukojolea humo vyooni au sytem ya vyoo hapo uwanja wa UHURU ikoje?

vijisehemu vipo,na mimi nilivitumia wakati nashuhudia huu upuuzi.lakini still watu wanafanya!
 
Jeshi la Manji hilo, wameshindwa kucheza mpira wakaamua kumalizia hasira zao ******.

Madega una kazi nzito itabidi uwafundishe namna ya kutumia vyoo wapenzi wako wa yanga.
 
Unajuaje kama hapo picha hiyo hai represent " Baadhi ya washabiki wa mpira wa Dar-es-salaam ndivyo walivyo" instead of "Waafrika ndivyo walivyo" ?

Surely huamini kwamba hata washabiki wa mpira wa Dar wote tu, achilia mbali waafrika wote, hawana tabia hii.

Au unataka kuwahukumu watu wa continent zima kwa ushenzi wa wahuni wachache?

Na sie tuseme "Wazungu ndivyo walivyo" equally kwa fujo za football hooligans wa Italia na Uingereza?

Kwa minajili hii, nani atasalimika?

http://www.footballhooligans.org/
 
TAFADHALI EDIT TITLE YA THREAD YAKO NIMETOA SUGGESTION ANGALIA HAPO JUU. nitakupa sababu baadae.

Nafikiri umeeelewa kwa nini nilikwambia u edit title yako MY BEST FRIEND HAS BREAK IT DOWN FOR ME.



BlurayRe: NAUNGA MKONO RASMI KAULI YA NYANI-JULIUS-miafrika ndivyo ilivyo!
Unajuaje kama hapo picha hiyo hai represent " Baadhi ya washabiki wa mpira wa Dar-es-salaam ndivyo walivyo" instead of "Waafrika ndivyo walivyo" ?

Surely huamini kwamba hata washabiki wa mpira wa Dar wote tu, achilia mbali waafrika wote, hawana tabia hii.

Au unataka kuwahukumu watu wa continent zima kwa ushenzi wa wahuni wachache?

Na sie tuseme "Wazungu ndivyo walivyo" equally kwa fujo za football hooligans wa Italia na Uingereza?

Kwa minajili hii, nani atasalimika?
 
Na mtu asipolaani hichi kitendo kwa maandishi hapa atakuwa nae ni kati ya waliochojoa pale.
Mkuu ndo tunaambiwa binadamu unaweza kumtoa shamba ukamleta mjini lakini kumtoa ushamba kaaaazi kweli kweli,you can take a man out of bush but you can not take the bush out of him,mambo ya uswazi hayo mazee kazi kuiba mafuta ya transforma kwa kwenda mbele ukimuuliza anakuambia kwao hakuna umeme!
 
Mkuu ndo tunaambiwa binadamu unaweza kumtoa shamba ukamleta mjini lakini kumtoa ushamba kaaaazi kweli kweli,you can take a man out of bush but you can not take the bush out of him,mambo ya uswazi hayo mazee kazi kuiba mafuta ya transforma kwa kwenda mbele ukimuuliza anakuambia kwao hakuna umeme!

NI aibu na fedheha kwa taifa tunataka maendeleo gani? nasikia hata koki za bomba zinang'olewa balbu nazo zinapasuliwa. kama unakojolea kwenye sinki utanawia mikono wapi?
 
Now at the risk of being very politically incorrect, I will recount a story, which I protested at the time I was told by one of my uncles, a former football player himself who went on to become a professional accountant.

He said, in what may admittedly be taken to be a very elitist statement, that through personal experience he had observed that football in particular and the athletics in general, tend to attract people who are not necessarily very bright in other aspects.

He went on to frame his unscientific observations that, it is very rare to find an athlete who is very intelligent.It is almost like the evolutionary process (to believers god) makes sure that no one person gets it all.If your brain is very good in the bodily coordination requisite in becoming a great athlete, most of the time that same brain will lack the patience for the academic and intellectual contemplation. After all, this very same impatience -some would call it adrenaline- is exactly what makes one a great athlete. Equally it is very hard to find a philosopher who is a very good athlete, philosophers after all thrive in living in an abstract world, sometimes unrealistically so in the goal of not being corrupted by the lower rungs of existence evidenced in the physical world.

Similarly, in order to be a great athlete, or an ardent fan, one has to devote much time following sports, rather than educating oneself on some of the central issues of life.

His arguments can be supported by the scandals of "prostitution" of college academics over the preference given to student athletes in the USA, at least the time devoted argument is a no brainer.

One can also argue that football is a game of the hoi polloi, and amongst the hoi polloi, ath the risk of sounding like ganesh on another thread, you will possibly find the worst of human aspects amplified simply due to socio-economic factors.

I mean I do not expect to find a similarly deplorable spectacle at the loo of "The Little Theatre" or whatever is left of what used to be "The Gymkhana Club"

On the other hand, football hooliganism and it's "What's The Matter with Kansas" counter-intuitive absurdity (what do you gain by pissing on a sink?) is a global phenomena.In fact, the damage done by this very same phenomena in Europe would make that sorry lavatory scene seem like a child's play.

I refused to swallow wholesale my uncles argument, although I know that the entire enterprise of sports, apart from it's disproportionately overhyped health benefit (sports can be more harmful than beneficial to one's health) is certainly a relic of a more crude time. Our irresistible fascination with sports is a relic of the hunter gatherers escapades and how our collective subconscious is missing the running around.We even invent unnecessary running around, with artificial goals.

My uncle would say, naturally the dim bulbs would be the first to be attracted to such an artificial spectacle and leave the real challenges of life unattended. And that dim bulbs do dim bulb things.

I would say, this has more to do with socio-economic issues, group psychology and football hooliganism than anything African.
 
rafiki unanishangaza kidogo kwa uwezo wako mdogo wa kufikiri

haya baba wewe uwezo wako mkubwa wa kufikiri....unajua tena wengine tulikimbia umande.............naomba kuelimishwa
 
Mh huwezi amini! labda wawachimbie vyoo vya mashimo. Ukweli ni kwamba watz wengi wamezoea kutumia vyoo vya mashimo (na wegine hawatumii kabisa).

Si bora wangekuwa wanatumia vyoo vya shimo wangekuwa na soni... wanatumia kingo za nyumba na chini ya miti. Hawana tofauti na wanyama
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom