Msilaumu sana mazingira ndio yaliyosababisha,wengi wa watanzania hatujaishi mazingira ya vitu hivyo,wengi tumezoea kujisaidia kwa jembe,sasa hivi vya kidhungu itabidi tupelekwe training kabla ya kuruhusiwa kutumia!!!Hii ni AIBU! AIBU! tutaelimika lini? sisi kweli ni masikini wa mali ila zaidi ni FUKARA wa akili waliotengeneza huo uwanja watakuwa wanatucheka sana. nalaani kwa nguvu zangu zote kitendo hicho cha kifedheha halafu waliofanya hicho kitendo ni sisi wanaume hakuna mwanamke angeweza kupanda pale na evidence from the picture inadhihirisha wazi. AIBU JAMANI DA!
Msilaumu sana mazingira ndio yaliyosababisha,wengi wa watanzania hatujaishi mazingira ya vitu hivyo,wengi tumezoea kujisaidia kwa jembe,sasa hivi vya kidhungu itabidi tupelekwe training kabla ya kuruhusiwa kutumia!!!
ilipaswa serikali igharamie wataalamu waje kutufundisha ustaarabu na matumizi sahihi ya vyoo vya kisasa
ni watanzania wote?au watanzania wanaume?Huu ujumbe uliotumwa na hao vikojozi ni mkubwa mno kama mtu ukiangalia kwa undani. Tanzania hatuwezi kuendelea kwa sababu kila mtu anajifikiria mwenyewe, e.g mkojo umembana na watu ni wengi, the fool does not care about who is going to clean up, the properties, etc. linakojoa tu.
Kifupi watanznia ni WABINAFSI hakuna mfanooooo!
The same fool uliambie kwamba tunahitaji maendeleo hivi na vile unadhani litakuelewa, wapi!
TAFADHALI EDIT TITLE YA THREAD YAKO NIMETOA SUGGESTION ANGALIA HAPO JUU. nitakupa sababu baadae.
Swadakta,au waweke michoro inayoonyesha kila kilichomo na utumiaji wake,japo kuwa sitaki kuamini kama hii itasaidia sana,sababu mtu unaandikiwa usikae hapa lakini unakuta mtu kakunja nne tena na sigara mkononi,lakini mi naamini kuwa tiba ya mjinga sikuzote ni elimu!!!ilipaswa serikali igharamie wataalamu waje kutufundisha ustaarabu na matumizi sahihi ya vyoo vya kisasa
ni watanzania wote?au watanzania wanaume?
Aaa,Radical mengine yapi tena hayo?I'm thinking beyond the box, sio kwenye kukojoa tu, hili la kukojoa lina-present mengine mengi ya aibu na unthinkable watanzania wanayoyafanya.
So it is not about males or females!
Aaa,Radical mengine yapi tena hayo?
Dah shem kuna watu wanachanganyikiwa vibaya sana,yani anaweza tembea toka mbagala mpaka bunju anauza miwani.na akikatiza mitaa ya hapo karume anakutana na mgambo .Sasa inapotokea mechi kama za simba na yanga ndio wakati wao wa kufurahi japo kidogo maana hata kunusa kama pale tulipoget tugeza jana ni kazi achana na hizo kempisiki.sijakusoma shemeji!unachanganyikiwa kiasi gani hadi unakojoa kwenye masinki ya kunawia?
ukikaa uswahilini hauwezi kushangaa sana,kinachonipa tabu ni kwani nini huo mkojo ulikuwa hauendi through the pipes au mnataka kuniambia tayari masinki yameshaziba!!!!
kuataarabika is a process though we have a long way to go.
hahahahaha!mpwa kwa hali hii sijui kama tutafika