Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Fikiria tena..
khaa wenye fujo siwataki ..
we mtukutu sana..
mmmhhhhh
Unataka wapole kama majoka ya Kibisa?
Fikiria tena..
khaa wenye fujo siwataki ..
we mtukutu sana..
mmmhhhhh
Unataka wapole kama majoka ya Kibisa?
nataka watundu wa vitendo
nmmmhhh we mtundu wa maneno
( Hufai)
napenda wanao onekana wapole usoni ..
lakini kumbe wamezidi kete....
<br />Hivi wewe ka-Afrodenzi hii jeuri unaitoa wapi? Mpaka nikum@#$%& wewe ndo utakuwa na adabu. Kichwa chako
Hivi wewe ka-Afrodenzi hii jeuri unaitoa wapi? Mpaka nikum@#$%& wewe ndo utakuwa na adabu. Kichwa chako
Afrondenzi nipo hapa, achana na hao makauzu, teh! teh!
Acha uchokozi NNHivi wewe ka-Afrodenzi hii jeuri unaitoa wapi? Mpaka nikum@#$%& wewe ndo utakuwa na adabu. Kichwa chako
ina maana bwabwa............bwabwa vipi mbona umemsahau?nimesikia ana mpango wa ku adopt mtoto kama sir elton john!
Ai jamani nyieina maana bwabwa............
Kati ya Uporoto na Cheusi Mangala, Max Melo na Miss Judith, Mama Groly na Dr Phone, Afrodenzi na Nyani Ngabu, Buji Buji na Blackberry.
Kwa maelezo zaidi M-Pm Rev Masa ambaye atabariki ndoa hizo pia Natangaza ndoa kati ya Faiza Foxy na Mohamed Shossi, kwa maelezo zaidi M-Pm Sheikh Malaria Sugu (MS) ambaye atasimamia ndoa hiyo.
Ndoa zote zitafungwa hivi karibuni, nafasi za wanakamati ziko wazi na wana MMU mnaruhusiwa kugombea.
Long live JF married.
<br />
<br />
Habari yako bana
Acha uchokozi NN
mmmhhhh
Hivi kwanini na we unapenda kuonyesha Jeuri
wadhani kila mtu atakukumbatia mmmhhhh
Pole sana ..Embu jaribu kuni @#$%& tuone....
Afadhali mimi na kichwa ntakwambia wewe una nini baadaye mmhh
Hey Dena Amsi ulikuwa wapi auntie? Nilikumiss bana....
Nipo bana nakuona tu na AD shauri yenu isijekuwa yananihiyo ha ha ha ha Jumapili imekaaje Mkuu???
Jumapili iko powaaa kabisa...yaaani haina majotroooo.
Hujambo mama? Habari za abotabab!Hii imekaa poa mie najiinjoyi na Valuu hapa tabata kwa...............................na ile kitu inaitwa kitimoto sijui ahhhh goooooooooshi sory kwa waisilamu i didn't mean to wakosea