Natangaza Ndoa

nataka watundu wa vitendo
nmmmhhh we mtundu wa maneno
( Hufai)
napenda wanao onekana wapole usoni ..
lakini kumbe wamezidi kete....

Hivi wewe ka-Afrodenzi hii jeuri unaitoa wapi? Mpaka nikum@#$%& wewe ndo utakuwa na adabu. Kichwa chako
 
Hivi wewe ka-Afrodenzi hii jeuri unaitoa wapi? Mpaka nikum@#$%& wewe ndo utakuwa na adabu. Kichwa chako

mmmhhhh
Hivi kwanini na we unapenda kuonyesha Jeuri
wadhani kila mtu atakukumbatia mmmhhhh
Pole sana ..Embu jaribu kuni @#$%& tuone....
Afadhali mimi na kichwa ntakwambia wewe una nini baadaye mmhh
 
Kati ya Uporoto na Cheusi Mangala, Max Melo na Miss Judith, Mama Groly na Dr Phone, Afrodenzi na Nyani Ngabu, Buji Buji na Blackberry.
Kwa maelezo zaidi M-Pm Rev Masa ambaye atabariki ndoa hizo pia Natangaza ndoa kati ya Faiza Foxy na Mohamed Shossi, kwa maelezo zaidi M-Pm Sheikh Malaria Sugu (MS) ambaye atasimamia ndoa hiyo.

Ndoa zote zitafungwa hivi karibuni, nafasi za wanakamati ziko wazi na wana MMU mnaruhusiwa kugombea.

Long live JF married.

hongera kwa kutangaza nia,lkn kuwa makini wachumba wa siku hz bwana,hawaamnki kabsa.thanks
 

mmmhhhh
Hivi kwanini na we unapenda kuonyesha Jeuri
wadhani kila mtu atakukumbatia mmmhhhh
Pole sana ..Embu jaribu kuni @#$%& tuone....
Afadhali mimi na kichwa ntakwambia wewe una nini baadaye mmhh

Hivi hujui kuwa jeuri dawa yake kiburi? Ukiendelea nitakuchapa mimi...ooohoooo
 
Jumapili iko powaaa kabisa...yaaani haina majotroooo.

Hii imekaa poa mie najiinjoyi na Valuu hapa tabata kwa...............................na ile kitu inaitwa kitimoto sijui ahhhh goooooooooshi sory kwa waisilamu i didn't mean to wakosea
 
Hii imekaa poa mie najiinjoyi na Valuu hapa tabata kwa...............................na ile kitu inaitwa kitimoto sijui ahhhh goooooooooshi sory kwa waisilamu i didn't mean to wakosea
Hujambo mama? Habari za abotabab!
 
Back
Top Bottom