Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Una maanisha kuwa, hao watu wapo kwenye ndoa kwa maana ya kuwa wamesha oana, na sasa wameamua kubariki ndoa zao au sio...!?
Ewaaaa....nadhani alimaanisha hivyo. Labda walikuwa wanaishi katika ndoa iliyofungwa kiserikali au kimila, sasa wanataka kuibariki iwe ya ki-Mungu.