Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,803
- 59,282
Bado tu hamjamalizana!!???Hivi hujui kuwa jeuri dawa yake kiburi? Ukiendelea nitakuchapa mimi...ooohoooo
Bado tu hamjamalizana!!???Hivi hujui kuwa jeuri dawa yake kiburi? Ukiendelea nitakuchapa mimi...ooohoooo
Bado tu hamjamalizana!!???
Embu tanguliza heshima kijana...hujui mimi ni mama mchungaji?!Na wewe unataka eeh?
Embu tanguliza heshima kijana...hujui mimi ni mama mchungaji?!
Ndo lugha zenu hizo ehhh?!Kweli vijana wa leo mmeharibika...!Alaaa!! Kumbe mchungaji ndo anakugaragaza? Teh teh teh
Hivi hujui kuwa jeuri dawa yake kiburi? Ukiendelea nitakuchapa mimi...ooohoooo
Nipo bana nakuona tu na AD shauri yenu isijekuwa yananihiyo ha ha ha ha Jumapili imekaaje Mkuu???
mmmhhhh
Hivi kweli we unajua hata fimbo ni nini??
maana ya kuchapa ni nini??
usiseme vitu ambavyo viko chini ya
umri wako.. tuachie tulio komaa
mmmmhhhhh
haya saa ya kitandani imefika
hakikisha unavaa your pink PJs
piga mswaki ingia kwenye mablanketi
yako ya Shrek ..... ntakuletea
baby doll wako umkumbatie .. Nite nite mmmhh
Teh teh teh....imebidi nicheke tu! But I don't wear pink jammies. Pink is for girls and I am boy, bad boy.
I know you like bad boys. And I don't like Shrek. I like SpongeBob SquarePants.
Teh teh teh....imebidi nicheke tu! But I don't wear pink jammies. Pink is for girls and I am a boy, a bad boy.
I know you like bad boys. And I don't like Shrek. I like SpongeBob SquarePants.
Raha ya mapenzi mpate yule anayekupenda!
mmmmmhhhhhhh
Ndiyo! Kwani vipi, umeipenda eeeh?
Kati ya Uporoto na Cheusi Mangala, Max Melo na Miss Judith, Mama Groly na Dr Phone, Afrodenzi na Nyani Ngabu, Buji Buji na Blackberry.
Kwa maelezo zaidi M-Pm Rev Masa ambaye atabariki ndoa hizo pia Natangaza ndoa kati ya Faiza Foxy na Mohamed Shossi, kwa maelezo zaidi M-Pm Sheikh Malaria Sugu (MS) ambaye atasimamia ndoa hiyo.
Ndoa zote zitafungwa hivi karibuni, nafasi za wanakamati ziko wazi na wana MMU mnaruhusiwa kugombea.
Long live JF married.