Natangaza KUJITOA Chama cha Walimu Tanzania (CWT)

inaelekea wakati huko chuo ulikuwa sio mfuatiliaji wa Masomo kwa sababu hyo mada ipo kwny muhtasari wa mafunzo ya ualimu

.Hebu rudi chuoni
ujaribu kuomba
uelekezwa.
 
nimeuliza baadhi ndo wamenipa info hizo... ila hakuna aliyenieleza za kutosheleza
cyo umuhimu wa cwt kwa walimu wa tanzania ishu ni umuhimu wa chama cha wafanyazi kwa wafnykz. Kujua umuhmu wake, taratibu zake nk soma SHERIA YA AJIRA NA MAHUSIANO KAZINI, NA.6 YA MWAKA 2004
 
wadau mimi ni mwalimu mtarajiwa na Mungu Akipenda Hapo Mwakani Nitakuwa Ktk Ajira Mpya...Sasa Nimesikia Kuhusu Hii Kitu CWT kuwa sio hiari ni lazima kwa mwalimu kujiunga.. pia kuna makato nasikia 12% ya mshahara inaenda huko.. naombeni ufafanuzi kwanini iwe lazima kujiunga wakati katiba inasema mtu asishurutishwe kujiunga na chama chochote pasi na hiari yake? au kama swali litakuwa gumu naomba nijulishwe faida za kuwa mwana cwt..nitashukuru hasa nikipata michango ya walimu wazoefu.

Nilazima kwa kila mwalimu kuwa ndani ya hicho chama na hakuna mtu atakuja kukuuliza kama unataka kujiunga hiyo ni lazima kama unapokuwa chuoni unakuwa mwanachama wa organization ya wanafunzi (student organization, kama Daruso kwa Udsm na Suaso kwa sua....,) kama mwanachama lazima huwa kuna kulipa pesa ya kuendeleza chama, vyuo vigine huwa wanatoa Tsh.10,000/= or Tsh.5,000/= kila mwaka wa masomo na sio hiari ni lazima.

So, kwa walimu chama chao cha lazima ni hicho cwt na hiyo percent wanayokata kwenye salary yako huwa hakuna bargaining ukishaanza kazi wanaanza kukata utakuwa unaona kwenye salary slip 2.
Kuhusu faida, kiukweli kila chama huwa kinaanzishwa kwa malengo na mikakati kibao ya kusaidia wanachama wake ingawa tatizo huwa linakuja kwenye wasimamizi wake. CWT ina mikakati kibao ya kusaidia walimu, lakini ninalolijua kubwa ni kutetea masilahi ya walimu kama vile kudai kuongezewa mshahara pamoja na kudai madeni ambayo yanatokana na kuhamishwa eneo la kazi au wakati wa kuanza ajira mpya kwa zamani walimu walikuwa wanatumika hata mwaka bila mshahara halafu baadae ndo wanaanza kuandika barua za madai kwa serikal at the same time cwt wanakuwa wanaleta presha kwa serikali ili wewe mwalimu upate haki zako.

Faida nyingine ni kwenye mambo ya sheria, inafahamika kwamba mshahara wa mwalimu ni kidogo kuweza kumudu masuala ya kisheria kama kukodi wakili wa kukutetea unapokuwa umepata majanga au umevurugwa, I think umeshasikia kunawalimu kwenye miaka ya 2007/2008 hivi, walichezea sitick kutoka kwa DC, sasa kilichofatia CWT iliingia court kudai haki ya wale walimu na wakapatiwa si chini ya Tsh 20.ml kama fidia ya kuzaririshwa na kuhamishwa hilo eneo, yote yale yalikuwa ni matunda ya CWT, pia kwa wale vijana mambo ya ku-atamia watoto wa shule inapotokea umedakwa kuna wakati Cwt inaweza kukuwekea mwanasheria kama kunamazigira ya utatanishi yanayoonyesha kama umeonewa. Hivyo nakuomba usiogope kwa kutishwa kuhusu cwt wanakata % kidogo sn, wapo wengine wanakata % kubwa kidogo utawaona tu kwenye salary slip, nakushauri yote hayo yaone kama challenge tu kwasababu hata ungelipwa 2 mil., bado isigekutosha cha mhimu angalia fursa zilizopo area watakayo kupeleka then ufanye mambo. Kitu kingine usikope hasa kwenye taasisi za pesa ambazo wanamashariti nafuu sana maana watakufanya shamba, ikitokea unataka loan kwa reasonable case please nenda ka-apply hyo loan bank especially government Bank, ni hayo tu best.
 
Mkuu Umenijibu Vema Mpaka Yule Aliyesema Nisiulize 'barabarani' Ameona Aibu. Ahsante
 
Not 12% ni 2% ya salary, ukiacha mambo ya muhimu yaliyoelezwa Mimi nilikuwa mwalimu nilyewahi kulalamika sana kuhusu cwt,lakini Hui no chama chenye msaada mkubwa, nilipata matatizo ya kuuguliwa nikapewa rufaa kwenda India kwa matibabu zaidi, Hawa jamaa walinisaidia sana, na ukiacha msaada wao wa dola 150, walijitahidi kushinikiza kila nilpohitaji huduma,lakini pia walinisaidia fedha za mahitaji kila nilipofika ofisini kwao pale kinondoni moroko,in chama kizuri,tuendelee tu kushauriana kwa Yale mapungufu madogo madogo. Kwa maana wale viongozi nao ni binadamu kuna mambo yanahitaji marekebusho.
 
wana jf
ndugu zangu mada hapo juu yajitosheleza hv cwt ina msaada gani ikiwa mpaka leo walimu wanalilia madeni yao ya miaka mingi
walimu hawapandi madaraja kwa wakati mfano kuna walimu wameanza kazi mwaka 2010 unakuta halmashauri nyingine wamepanda madaraja halmashauri nyingne hazijapanda
halmashauri walizopanda madaraja ni rufiji tandahimba masasi newala nk
ambazo hazijapanda ni kondoa pamoja na halmashauri zote za mkoa wa dodoma pamoja na mikoa mingine
kama cwt mmeshindwa kuwasaidia walimu kupata haki zao ni bora mkaacha kuikata mishahara yao ili kila mtu apambane mwenyewe kuliko kula pesa bure
nawasilisha wadau muwasaidie
 
Tatzo viongoz wako corrupt! Serikali imewaweka mfukon na viongozi wenyewe wako pale kwa ajili ya matumbo yao! Hawana msaada wowote!
Hata na nyie walimu wengi hamjitambui, wa kwanza kuilaum serikali lakn nyie wenyewe ndo mnaisaidia kuingia madarakani! Walimu wengi mnatumika vbaya badilikeni! Jitambue muache kulialia! Wakixema mgome mpk madai yenu yalipwe mnapnga! Badiliken bwana!
 
Kwa uongozi Wa cwt walimu kupata maisha bora inahitajika mamilion ya miaka.
 
hafu hawa jamaa wa cwt ni wanafiki sana wanapoona likizo imekaribia ndo wanaazisha migomo yao kama kweli mnania ya kusikilizwa malalamiko yenu kwanini migomo hiyo msifanye wakati wa mitihani ya taifa ila msijali 2015 mtatoka tu pamoja na ccm lenu hilo
 
Wapo makini na kukata pesa ya waalimu,
jengo la Mwalimu house linalipiwa kodi na waliopanga mule lakini hizo pesa hazieleweki zinapokwenda,
 
Tatzo viongoz wako corrupt! Serikali imewaweka mfukon na viongozi wenyewe wako pale kwa ajili ya matumbo yao! Hawana msaada wowote!
Hata na nyie walimu wengi hamjitambui, wa kwanza kuilaum serikali lakn nyie wenyewe ndo mnaisaidia kuingia madarakani! Walimu wengi mnatumika vbaya badilikeni! Jitambue muache kulialia! Wakixema mgome mpk madai yenu yalipwe mnapnga! Badiliken bwana!

heri yao wa 2010 walopanda. kuna halmashauri kama kilosa, tulioingia mwaka 2009, barua ndo zimetoka juzi wakati halmashauri nyingine morogoro tangu mwaka juzi. eti kuna uongoz wa cwt, wakurugenzi na TSD. hata hvo nyongeza ya mishahara mwez wa 7, kwa walimu haikuzid 7%, idara nyingine ilianzia 10. na bado tunawapgia kura magamba na kucmamia chaguzi. kweli mwalim ni malighafi ya CCyemu
 
Walimu wenyewe ni wajinga wajinga tu wenye uelewa mdogo si katika masuala ya kitaaluma tu baali hata general knowledge zero.!.. Kwa watu kama hawa unategemea nini zaidi ya kusubiri upepo uwapeleke kule unakopenda?

Seriakli inajua hilo hapo juu na kwa hiyo ndiyo sababu inaweza kuamua kukata mishahara midogo ya walimu na kuitumia ama kwa mwenge ama ujenzi wa shule utadhani shule ni za walimu. Ni kwa sababu inajua walimu hawana akili waa ufahamu.

Walimu wenyewe kwa sababu hiyo hiyo hapo juu, wameitikia mwito wa serikali wa kuwagawanya na kuwafanya watii kila lisemwalo kwa ajili ya hofu, na ujinga wao. Kuna viongozi wachache wanaodhani wananeemeka na seriakli na hivyo kutumia vitisho dhidi ya walimu wenzao waliogawanyika.

Ukitaka uthibitishe haya angali nii wanaongea kwenye kampeni ya Kawambwa aliyoianzisha kukutana nao ili kuwapoza kwa madeni yao ambayo kihalisia hayatalipwa hadi wanakufa; kuwaondolea jaziba ya kukatwa fedha zao kwa ajli ya miradi ya sriakli , seriakli ambayo imefuja fedha zote za kodi na sasa inanyag'anya misharaha ya walimu ili angalau kuongeza show kwenye kampeni za ccm mwakani; tatu kuwatayarisha kwa ajil ya kuunga mkono na kusaidia ccm kuingia madaraani mwakani kitu ambacho kwa sababu walimu ni wajinga wasiojitambua, utaona watakavyo changamkia tenda.

Ujinga mtupu!.
 
Bado una amini cwt? This is a branch of ccm like uwt, uvccm et cetera...... Tuliasisi UMET kwa lengo La kuwasaidia ninyi walimu lakini mkabaki mmeganda ka cwt kenu.... Sasa mnalia nn?
 
Walimu wenyewe ni wajinga wajinga tu wenye uelewa mdogo si katika masuala ya kitaaluma tu baali hata general knowledge zero.!.. Kwa watu kama hawa unategemea nini zaidi ya kusubiri upepo uwapeleke kule unakopenda?

Seriakli inajua hilo hapo juu na kwa hiyo ndiyo sababu inaweza kuamua kukata mishahara midogo ya walimu na kuitumia ama kwa mwenge ama ujenzi wa shule utadhani shule ni za walimu. Ni kwa sababu inajua walimu hawana akili waa ufahamu.

Walimu wenyewe kwa sababu hiyo hiyo hapo juu, wameitikia mwito wa serikali wa kuwagawanya na kuwafanya watii kila lisemwalo kwa ajili ya hofu, na ujinga wao. Kuna viongozi wachache wanaodhani wananeemeka na seriakli na hivyo kutumia vitisho dhidi ya walimu wenzao waliogawanyika.

Ukitaka uthibitishe haya angali nii wanaongea kwenye kampeni ya Kawambwa aliyoianzisha kukutana nao ili kuwapoza kwa madeni yao ambayo kihalisia hayatalipwa hadi wanakufa; kuwaondolea jaziba ya kukatwa fedha zao kwa ajli ya miradi ya sriakli , seriakli ambayo imefuja fedha zote za kodi na sasa inanyag'anya misharaha ya walimu ili angalau kuongeza show kwenye kampeni za ccm mwakani; tatu kuwatayarisha kwa ajil ya kuunga mkono na kusaidia ccm kuingia madaraani mwakani kitu ambacho kwa sababu walimu ni wajinga wasiojitambua, utaona watakavyo changamkia tenda.

Ujinga mtupu!.
Truth spoken... Walimu ni wajinga mno kuliko uzanivo wengi wao hawajui chochote kuanzia content ya darasani hadi uhai wao ni zero
 
walimu wenyewe ni wajinga wajinga tu wenye uelewa mdogo si katika masuala ya kitaaluma tu baali hata general knowledge zero.!.. Kwa watu kama hawa unategemea nini zaidi ya kusubiri upepo uwapeleke kule unakopenda?

Seriakli inajua hilo hapo juu na kwa hiyo ndiyo sababu inaweza kuamua kukata mishahara midogo ya walimu na kuitumia ama kwa mwenge ama ujenzi wa shule utadhani shule ni za walimu. Ni kwa sababu inajua walimu hawana akili waa ufahamu.

Walimu wenyewe kwa sababu hiyo hiyo hapo juu, wameitikia mwito wa serikali wa kuwagawanya na kuwafanya watii kila lisemwalo kwa ajili ya hofu, na ujinga wao. Kuna viongozi wachache wanaodhani wananeemeka na seriakli na hivyo kutumia vitisho dhidi ya walimu wenzao waliogawanyika.

Ukitaka uthibitishe haya angali nii wanaongea kwenye kampeni ya kawambwa aliyoianzisha kukutana nao ili kuwapoza kwa madeni yao ambayo kihalisia hayatalipwa hadi wanakufa; kuwaondolea jaziba ya kukatwa fedha zao kwa ajli ya miradi ya sriakli , seriakli ambayo imefuja fedha zote za kodi na sasa inanyag'anya misharaha ya walimu ili angalau kuongeza show kwenye kampeni za ccm mwakani; tatu kuwatayarisha kwa ajil ya kuunga mkono na kusaidia ccm kuingia madaraani mwakani kitu ambacho kwa sababu walimu ni wajinga wasiojitambua, utaona watakavyo changamkia tenda.

Ujinga mtupu!.
wewe mwenyewe ni mjinga mjinga, hata kuandika ni shida. Angalia serikali ulivyoiandika. Hufuati alama za uandishi halafu unajiona mjanja.
 
Na kweli walimu ni janga la taifa. Uwezo wa kufikiri zero. By the way, how did you know I wanted to write serikali? Huo ndio ungedere wenu.

Kwa vyovyote vile mjinga anayo njia moja tu ya kuficha ujinga wake. Nayo ni kunyamaza kimya. Kila akifungua mdomo, anazidi kujichora ni mjinga kiasi gani. Argument yako hapa inazidi kuonyesha depth na degree ya ujinga wako kwamba nafuu hata ngedere anajitambua na anaweza kujiokoa na shari bila kujali wengine wanafanya nini.

Sasa wewe ni binadamu wa aina gani unayeridhika na kujiona knowledgeable eti kwa sababu mko wajinga wengi?

Ujinga huo huo ndio unakupekea kujiona si mjinga na ndiyo kila mtu anawaona vile. Sasa sijui mnapiga kelele za nini ikiwa mnaridhika na treatments mnazopata?

Bahati mbaya sana hamna uwezo wa kuona namna gani mko kiwango cha chini. Hata lugha unayotumia "eti mjanja", ni lugha ya vijiwe vya majuha".. sasa sina lugha ya kusema na wewe zaidi ya kumalizia kwa kusema:-

"Misukule waalimu, Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!"




wewe mwenyewe ni mjinga mjinga, hata kuandika ni shida. Angalia serikali ulivyoiandika. Hufuati alama za uandishi halafu unajiona mjanja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom