LEYANA LESINDAMU
Member
- Mar 22, 2012
- 33
- 11
- Thread starter
- #41
Ndugu Leyana, nakupa ushauri wa Bure kama wameku (wazee) wamekufuata, naona kuna shida nataka kujua wewe unataka kuifanyia nini Rombo, na je ndani yako kunasemaje kuhusu hiyo nafasi?? Hiyo ni ndoto yako au ya wazee waliokufuata?? I would like to hear your own dream and vision please!!!
Ndugu Mkenda,tangu zao la kahawa lianze kuyumba kwa maana ya ukame na bei duni katikati ya miaka ya 1990 rombo imechoka sana kiuchumi. Mkakati wangu ni kufanya migomba kuwa zao la biashara,kwa sasa kuna jamaa wa Poland nazungumza nao tufungue kiwanda cha mikeka kwa kutumia marawa ya migomba ambayo ni by-product. Mkuu kuna mengi tu ambayo nimeplan kwa kutumia taaluma yangu ya rural develpment.