LEYANA LESINDAMU
Member
- Mar 22, 2012
- 33
- 11
Natangaza rasmi 2015 nitagombea ubunge-Rombo kupitia CDM. Nimeamua kufanya hivyo baada ya kutafakari kwa mda mrefu maombi ya makundi mbalimbali ya jamii ya wana Rombo kugombea tangu mwaka 2005 na hivi juzi ujumbe wa wazee watatu wa Rombo walinifuata Kilindi-TANGA ninakofanya kazi wakinitaka nisiwaangushe 2015. Wadau nishaurini.