Za kibongo tuwekee mkuu.... Maana nikipata eatv... Clouds... Tbc... Star... Itv... Ntakuwa nimemaliza....Channel za movies nitaziongeza kwa hilo ndugu naomba nikutoe hofu
Jaribu kudownload hii attachmentLink haisapoti tecno y3
Usijali mkuu bado tunazidi kuboresha, nimechukua ushauri wakoZa kibongo tuwekee mkuu.... Maana nikipata eatv... Clouds... Tbc... Star... Itv... Ntakuwa nimemaliza....
Tunaendelea kuboresha, na ni mpango wetu channel zote za michezo na habari ambazo zinapendwa zipatikane online liveHongera sana mkuu,Ila hizo bein spot ziweke 1_10
Inanikatalia 'you dont have permission to view this file.' ReloadJamani kwa heshima na unyenyekevu mwingi, nimetengeneza application ya kutazama live Tv online lakini bado sijaiweka Play store kwa hiyo unaweza ukaidownload kwa kubonyeza link hiyo chini, Kuna channel zaidi ya 20, zikiwemo azam one,azam two,Azam sports HD, Super Sport 1,2,3, na nyingine nyingi, unapo-install itabidi uruhusu instalation from unknown sources, kwa kuwa haijawekwa bado play store na pia maboresho yanaendelea Download Online Tv
jaribu kudownload kwa link hii https://www.jamiiforums.com/attachments/online-tv-apk.423122/Inanikatalia 'you dont have permission to view this file.' Reload
Sawa, ahsante kwa ushauri nitaufanyia kaziiko poa ila default orientation weka landscape
Ahsante imekubaliJaribu kudownload hii attachment
Sawa, tupo pamojaAhsante imekubali
sawa Kiongozi usijali, maboresho yanakujaDaaaah mkuu hongera sana yaani hapa nacheki game ya madrid na athletic clear kabisa Kupitia azam sports hd bila chenga,marekebisho tunaomba utuwekee iwe ina autorotate
Ahsante, nashukuruMkuu hongera sana, umefanya kazi nzuri sana. Iko very clear
kwenye ishu ya kuwa na boofering nyingi ni sababu ya network, lakini hata hivyo tunafanya maboresho ambayo yatakuwezesha ku stream kulingana na speed ya network unayotumia, ila kwenye ishu ya full screen utabonyeza sehemu yoyote ya video ikianza kuplay, kisha upande wa kulia chini utaona icon ukiibonyeza hiyo itaweka full screen, japokuwa bado tunazizi kuboreshaHongera ndugu nimeipakua inafanya kazi vizuri.
Angalizo kuna mmoja ya Azam two nlikua nayo ila wakati wa mechi kunakua na BUFFERING nyingi sana
Kama utaweza naomba utuondolee iyo kitu
Ni vp ukitaka kuview full screen?