molely molly
JF-Expert Member
- Nov 28, 2011
- 317
- 30
join free mason utameet na second madam X au
Najiungaje na hiyo Freemason?join free mason utameet na second madam X au
Jamani wanajamvi!
Mimi ni mdau na mchangiaji mzuri wa maada mbalimbali hapa jamvini,
Kadri cku zinavyosonga mbele najikuta nafurahishwa sana comments za "madame x" mpaka naanza kutaman walau kumuona,kujua anaishi wapi na hata username yake ni burudani tosha kwangu!
Pleaz naombeni ushauri!
MR.LEO duuh unanitafutie kesi humu ndani, maana sijui nianze wapi.... Bujibuji na MziziMkavu watawajibu. Lakini jina lako kama vile namuona DiCaprio in my dreams
Me ndo Pacha wake MadameX,ila mwaga data zako hapa ili tujue jinsi ya kukusaidia;
Account yako ina sh ngapi?
Una gari?
Una nyumba?
Salary yako kwa mwezi sh ngapi?
Na mengine yatafuata.
Jibu kwanza hayo.
NYUMBA NA GARI VYOTE NINAVYO ILA NI VYA URITHI,
Salary yangu per month ni $690.
Salio langu kwenye akaunt cwez kukwambia wewe ila nikiulizwa na
"MADAME X" nitatoa hizo takwimu!
$ 690 pesa fupi hiyo....haya tuambie ngapi salio
Mamito mpe chance dogo afurahi. Kukuona tu basi! lol
Mie nahamu sana ya kukuona wewe plz I am dying here for imagination!
Oooh! my God, dont die, I am hear fro you. Come haraka haraka ila usianguke.