Natamani ningekua nimezaliwa miaka 80 iliyopita!!!!

Hata mie maisha kama haya kwa kweli ningeyaona karaha tena ya hali ya juu. Marafiki zangu waliponieleza haya nilibaki nawasikitikia kusema kweli.

Kuna rafiki yangu mmoja hapo dar yeye huamka saa kumi iliafike kazini saa moja na nusu na jioni hutoka saa moja na kufika saa nne au saa tano..huwa namshangaa sana maisha gani sasa hayo hapo mke watoto watapata mapenzi ya baba kweli mama atapata haki yake kweli
 
Mnafanya kazi gani?

This has nothing to do with anything here.Stick kwenye challange za maisha ya leo ni jinsi gani wanafamilia wanateseka na mfumo wa maisha kwa ujumla?
 
unaamini kuwa mazingira unayoishi ndio yanadetermine fate nayo au fate yako iko mikononi mwako??

Tatizo ni mfumo wa maisha ulivyowekwa.Ili muyafanye kuwa maisha yawe safi trust me,mmoja lazima abaki nyumbani angalau mpaka mfike mahali malezi ya wana hayahitajiki sana.Na hapa ukimgusia mkeo suala hili ndipo utakijua kilichomfanya kanga awe na madoadoa.Kila kitu kinafanywa kwa kufuata mkumbo tu!!
 
unangojea u-sisi?zama hizo zishapita

Zama ndio nini?Kanuni za maumbile hazibadiliki ziko vilevile.Hakuna jamii iliyowahi kupata mafanikio ikiwa na u-mimi.Hiyo nitabia mbovu sana.Unadhani u mimi unamanufaa yoyote?Hapana.Hata kwenye familia tu,baba na mama wakiwa na u-mimi familia inaparaganyika!
 
pamoja na mfumo wa maisha.

Tatizo langu huwa naamini kuwa naweza chagua nachotaka kufanya.

Kama nataka kuwa nyumbani saa kumi na moja nitatafuta njia na nita-sacrifice mengine yoote.

Just Priorities.

Tatizo ni mfumo wa maisha ulivyowekwa.Ili muyafanye kuwa maisha yawe safi trust me,mmoja lazima abaki nyumbani angalau mpaka mfike mahali malezi ya wana hayahitajiki sana.Na hapa ukimgusia mkeo suala hili ndipo utakijua kilichomfanya kanga awe na madoadoa.Kila kitu kinafanywa kwa kufuata mkumbo tu!!
 
Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!!


Mi niliyajua hayo na ndio maana niliamua kuoa MPEMBA, mama wa nyumbani............................LOL
 
Pole sana...maisha ya sasa hasa kwa wanaoishi jiji la Dar lenye foleni za kufa mtu yanahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Hivi karibuni nilipata nafasi ya kuzungumza na marafiki wanaofanya kazi sehemu mbali mbali jijini kuhusu wanachokifanya ili kuwahi kazini.

Wengine wanadai kuamka saa 10 za alfajiri hupata kifungua kinywa ndani ya gari na wakimaliza kazi hawaingii majumbani mwao mpaka saa mbili za usiku au zaidi. Sasa saa ngapi utakuwa na nafasi ya kukaa na watoto, mume/mke na ilhali inabidi ukalale ili siku inayofuata uweze kuamka zile saa zako za saa 10 ya alfajiri.

Haya makitu yaliwahi sababisha nikafanya usanii fulani ofisini ili tu wasinihamishie dar
 
Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!!

Mkuu kwa hali ya maisha ya sasa nyie endeleani tu kuvumiliana hivyo hivyo hadi mpate alternatives mfano kujiari mwenyee, kubadilisha kazi, kuishi karibu na kazini n.k

Nilichofurahi ni kwamba inaonekana wote mna-acknowledge hiyo situation, so it's just a matter of time na kujipanga zaidi
 
Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!!
hamia mikoani
 
Kongosho,what if ukiambiwa usakrifaisi kazi yako ili familia na wanao uwalee vyema?Kiukweli changamoto na ujuaji wetu ndo unaotugharimu.Angalia vyema vijana wa umri wa miaka 25 kurudi chini wengi wao wamelelewa na HG tazama namna wanavyoyachukulia maisha,utashangaa.Tuna tatizo kubwa sana la kimalezi na hili linachangiwa na aina ya maisha tunayoishi!
 
Last edited by a moderator:
bora huyo rafikiyo mke wake yupo home atleast watoto wanapata malez na upendo wa mama..
mie nna jiran yangu hapa. ndoa yao inafikisha mwaka wa tatu na mtoto wao ana miaka 2 kasoro sasa, huyu mtoto amekuwa wa house girl na ss majiran zake kias kwamba hata maendeleo ya ykuaji wa mtoto ni house girl anajua, mtoto anapenda nn na nn hapend baba na mama hawajui, mama huyu hata kumlisha mwanae hawez, katoto kalisusa kunyonya kakiwa na miez saba, coz daily mama anatoka saa 12 anarud 5 usiku so anamwacha amelala anarud ameshalala............[

QUOTE=Crashwise;4450203]Kuna rafiki yangu mmoja hapo dar yeye huamka saa kumi iliafike kazini saa moja na nusu na jioni hutoka saa moja na kufika saa nne au saa tano..huwa namshangaa sana maisha gani sasa hayo hapo mke watoto watapata mapenzi ya baba kweli mama atapata haki yake kweli[/QUOTE]
 
This has nothing to do with anything here.Stick kwenye challange za maisha ya leo ni jinsi gani wanafamilia wanateseka na mfumo wa maisha kwa ujumla?

Kwahiyo kazi unayoifanya haihusini na mfumo wa maisha?umeanzisha thread upewe ushauri,kuna certain type follow up questions depending on the type of advice someone is about to give you.

Inawezekana kazi yako ni too stressful,so kuna advice zinazoendana na hizo type of challenges.Maybe kazi coupled with transportation kama alivyosema BAK might be the problem.Usiwe defensive,open up na ujiskikie huru kupokea all types of advice hapa kwenye public forum ya JF.

Kumbuka kwenye bandiko la kwanza kwamba tatizo kuu ni "Kila mmoja wenu amechoka kwa stress za kazini",ndo maana nikauliza ni kazi gani,wengine walioongelea kuhusu usafiri,hilo nalo ni part of the problem licha ya kwamba hukusema if that was actually the case.
 
Last edited by a moderator:
Natoka kazini nafika nyumbani usiku saa 3,mke wangu nae ndo anafika kutoka kazini,nae amechoka,namwambia tukaoge ananiambia nitangulie kwani amechoka.Naenda kuoga narudi HG anaweka chakula mezani,namuangaza mke wangu namkuta amepitiwa na usingizi kwenye kiti sababu za purukushani za kazini,namwamsha kisha wote tunajongea mezani,chakula sio kitam kama kile anachopika mke wangu,siku hizi hapiki,anakua kazini.Tunaingia kulala nimechoka nilitarajia mke wangu anipoze na mahangaiko ya kutwa nzima kumbe nae anahitaji wa kumpoza,hakuna wa kumpoza mwenzake wote usingizi unatupitia,tunalala kama tumezirai,hakuna muda wa kujadiliana kuhusu familia na maisha yetu.Unyumba tunapeana kimazoea tu,hakuna zile hisia na ham kama zamani.Kukicha watoto nao wanalalamika hatuna muda wa kukaa nao,hg hajui kuwalea kama mama yao.Watoto wanatuona kama wapita njia tu.Ee Mungu wanangu hawa watalelewaje?Najikuta nayatamani maisha niliyokulia mimi,natamani ningekuwa na umri wa baba yangu!! . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . . Nyote mnaochangia hebu changieni kwa kushauri kulingana na changamoto hizi zinazotukabili,mtoa mada anaweza kuwa amewawakilisha wenye maisha yenye changamoto hiyo,sio lazima ahusike!
hyo ni mpaka weekend?
 
Unadhani w/end itabadili yote?

yaaah mnaweza kucompasate muda wenu mnaokosa pamoja weekend mfano kama hii ndefu ya wiki hii,tafuta muda zaidi na wifi muweke mambo sawa.kama watoto ni wakubwa why not take atrip away kama cash inaruhusu?
 
Kama unaishi Dar ni sawa..
Ila ukienda mikoani unapata muda wa kukaa na familia yako mpaka basi..
Wakati mwingine tusiache mihangaiko ya maisha itawale kila kitu..utakuja kukuta mwana si wako!

Ni kweli Mkuu, unahangaika kutafuta na kutafuta wakati wa kutumia unajikuta huna wa kutumia nae kwa sababu familia imeshasambaratika.Maisha ya Dar es salaam ni very stressful.
 
yaaah mnaweza kucompasate muda wenu mnaokosa pamoja weekend mfano kama hii ndefu ya wiki hii,tafuta muda zaidi na wifi muweke mambo sawa.kama watoto ni wakubwa why not take atrip away kama cash inaruhusu?

Sidhani,malezi ya watoto yanahitaji zaid w/end,na changamoto nilizotaja hapo juu w/end ni ndogo!
 
Sidhani,malezi ya watoto yanahitaji zaid w/end,na changamoto nilizotaja hapo juu w/end ni ndogo!

sikia nyie mkiwa sawa na watoto nao mtaweza kuwalea sawa,hiyo kwenda trip sio remedy ya kila siku kakaangu ila ni step ya mwanzao ya kurudisha uhai wa kihisia ndani yenu,to be frank watoto katika hili naomba niwaweke wa pili kidogo,mek up with her mkirudi huko u will see the diffrenc,mtaweza kuongea,kujadili,na kupanga ni jinsi gani muwe na ndoa romantic,watoto wenye malezi bora bila kusahau na account zilizonona!maana mi nikiwa na stress hasa kuhusu ndoa hata kazi sifanyi vizuri.mkiwa huko for this two day u will see her tofauti sana,afa kama utaniruhusu nipe user name yake au email nimtip nini afanye on ur week away!sum of the things are WOMEN STUFFs.
 
sikia nyie mkiwa sawa na watoto nao mtaweza kuwalea sawa,hiyo kwenda trip sio remedy ya kila siku kakaangu ila ni step ya mwanzao ya kurudisha uhai wa kihisia ndani yenu,to be frank watoto katika hili naomba niwaweke wa pili kidogo,mek up with her mkirudi huko u will see the diffrenc,mtaweza kuongea,kujadili,na kupanga ni jinsi gani muwe na ndoa romantic,watoto wenye malezi bora bila kusahau na account zilizonona!maana mi nikiwa na stress hasa kuhusu ndoa hata kazi sifanyi vizuri.mkiwa huko for this two day u will see her tofauti sana,afa kama utaniruhusu nipe user name yake au email nimtip nini afanye on ur week away!sum of the things are WOMEN STUFFs.

Unaufahamu umuhimu wa ustawi wa wana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom