Nataka niwahi kuhudumiwa TRA na sina connection. Niende muda gani nisaidiwe mapema?

"Penye udhia penyeza rupia." Kauli pendwa kwenye "sh"t hole countries" kama alivyoziita Trump.
 
Mimefanikiwa kumaliza shughuli zangu saa nne asubuhi nilikuwa wa kwanza kuingia....
 
Naombeni muongozo. Sina connection TRA.

Jana nimeenda mchana kuna foleni kali sana.

Shida yangu ni kupewa tax clearance ya mwaka huu kwa biashara inayoendelea.
shida wengi tunapenda kwenda kwenye ofisi kama huduma hiyo inatolewa kwetu pekee. Nakumbuka TRA waliwahi sema huduma zao nyingi zinatolewa kwenye mtandao kwanini usiingie huko mpaka uende? wapo wengine hawana ulazima wa kwenda muda huu tra lakini unakuta wamejazana mfano mimi huwa mwezi wa kwanza naenda kadiriwa ilia ukienda kwa sasa sababu ndiyo siku za mwisho kukadiriwa zinakaribia utakuta watu wamejazana mpaka unajiuliza walikuwa wapo january, feb yoye?
 
Back
Top Bottom