Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
NIA YAKO YA "BEFORE" NA "AFTER" ni nini? Wewe inaelekea ulikuja na garimoshi la reli ya kati, sasa umejanjaruka.
Acha roho mbaya wewe!
Acha roho mbaya wewe!
Usinipandishe hadhi kihivyo mie nimekuja na mbio za mwenge,sawa bibie roho mbaya nitaiachaNIA YAKO YA "BEFORE" NA "AFTER" ni nini? Wewe inaelekea ulikuja na garimoshi la reli ya kati, sasa umejanjaruka.
Acha roho mbaya wewe!
Habari zenu waheshimiwa,JPili inasemaje?kwangu ni mbona tu na nina mpango wa kwenda kupunga upepo pale beach.
Ni hivi nina ndugu yangu kaingia kutoka Mafia yaani bado mshamba kwelikweli sasa nilikuwa nina mpango wa kuanza kumchangamsha.
Kuna jamaa alinipa ushauri nimpige picha akiwa na pensi kashika chupa ya koka kola kubwa huku kaweka pozi ya dole tupu,nimpige picha mbili moja yangu moja yake kama kumbukumbu,kwahiyo akianza kujanjaruka niwe wala siuumii kichwa kwani naweza nikamuumbua kwa kutumia picha hiyo.
Binafsi nilikuwa nina mpango wa kumkabisha kwa mateja wamkatekate visu ila wasimuue halafu nimpeleke hospital akatibiwe akitoka ataanza kulijua jiji kidogokidogo.
Narudi kwenu marafiki zangu ambao ndio nyie,je plan hizo ni nzuri kuzitekeleza? au kuna njia nyingine mbadala za kumuingiza mtu mjini?
noma,we wa kwetu nini?huyu katokea mashepeni kule mkumbi yaani ana kea mpaka kwenye ulimi,bac hamna noma nitamfundisha kuchakachua cmu.Washawasha na ww unavituko mara juzi utake kumuwasha mke wa rafikiyo leo tena na hili.. huko Mafia katoka wapi Bweni, tumbuju, Kilindoni, Ama Utende?? Taratibu ya hiyo ya mateja haijakaa vizuri kabisa. Mimi nadhani ukimfundisha mema na jinsi ya kuishi mjini atakukumbuka zaidi kuliko kumnanga.
ningekupa huyu ninayetaka kumuingiza mjni akufundishe,lolHaya bwana washawasha...nimewahi kuishi na wamalindi wa huko kidogo kaka. Japo inawezekana nayajua maeneo mengi kuliko wenyeji japo kuwa sijui kuchokoa pweza.. hahahahahahahahahaahaaaaa
Unkown paradise,usafiri kwa sie wagema ulimbo bado ni kikwazoMara ya mwisho nilikuwa huko Jan, 2001. Huwa nawaza ni sehemu nzuri sana ya vacation. Iko siku nitafika mkuu, japo sijui kama Mafia Lodge, Kinasi na zingine kama bado zipo.
Mkuu mie nimetoka zamani kdogo ila kwenye suala la boti tulizokuwa nazo imebakia 1 tu,boti/mashua ni aina ya usafiri ambao siukubali kabisa c unajua kufa na maji ni kutakaBuji bado hajaweka lami ule uwanja wa ndege?? Dah mzee.. ni uzoefu mzuri kusafiri na jahazi toka Kisiju siwezi sahau kaka. Hamfiki bandarini mpaka msubirie maji yajae. Kazi kwelikweli. Hivi boti ya kimbau bado ipo??
Hii sio akili wala matope,hii inaitwa size ya katiHii ni akili au matope???
Hii sio akili wala matope,hii inaitwa size ya kati
Habari zenu waheshimiwa,JPili inasemaje?kwangu ni mbona tu na nina mpango wa kwenda kupunga upepo pale beach.
Ni hivi nina ndugu yangu kaingia kutoka Mafia yaani bado mshamba kwelikweli sasa nilikuwa nina mpango wa kuanza kumchangamsha.
Kuna jamaa alinipa ushauri nimpige picha akiwa na pensi kashika chupa ya koka kola kubwa huku kaweka pozi ya dole tupu,nimpige picha mbili moja yangu moja yake kama kumbukumbu,kwahiyo akianza kujanjaruka niwe wala siuumii kichwa kwani naweza nikamuumbua kwa kutumia picha hiyo.
Binafsi nilikuwa nina mpango wa kumkabisha kwa mateja wamkatekate visu ila wasimuue halafu nimpeleke hospital akatibiwe akitoka ataanza kulijua jiji kidogokidogo.
Narudi kwenu marafiki zangu ambao ndio nyie,je plan hizo ni nzuri kuzitekeleza? au kuna njia nyingine mbadala za kumuingiza mtu mjini?
Nakuambia mie nimempita huyu jamaa kwa ushambampaka hapo nakuona we mwenyewe bado bonge la mshamba na unahitaji kuingizwa mjini kuliko hata huyo m-mafia mwenzio.:blah: