Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,413
Labda kwa Dar anaweza akaipata hiyo huduma mkuu!!kiufupi hiyo huduma haipatikani Arusha ..
Labda kwa Dar anaweza akaipata hiyo huduma mkuu!!kiufupi hiyo huduma haipatikani Arusha ..
Si unaona sasa!! Uliyataka mwenyewe hayo.
Unakwenda wapi na wewe ndio ulimshawishi?
Sio labda mkuu, kwa Dar ni uhakika!Labda kwa Dar anaweza akaipata hiyo huduma mkuu!!
Unakwenda wapi na wewe ndio ulimshawishi?
Hadhibitiki huyu.Haha, jamani atoto kama anaipenda hiyo kazi je!
Si afadhali kufanya ile kitu roho inapenda, cha muhimu ni kumthibiti tu na mikwara mingii.