Joel Johansen
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 242
- 319
Wakuu,
Nadhani mnajua kina Lil Wayne na watoto wengi wa kishua utakuta ana kichuma flani hivi either juu ya jicho pembeni ya nyusi au kidevuni. Ni wapi wanafanyaga hizo shughuli kwa hapo Arusha, na bei yake ni kama sh ngapi? Pia ningependa kujua huwa kinawekwaje na pia kama kuna side-effects zozote.
Asanteni.
Nadhani mnajua kina Lil Wayne na watoto wengi wa kishua utakuta ana kichuma flani hivi either juu ya jicho pembeni ya nyusi au kidevuni. Ni wapi wanafanyaga hizo shughuli kwa hapo Arusha, na bei yake ni kama sh ngapi? Pia ningependa kujua huwa kinawekwaje na pia kama kuna side-effects zozote.
Asanteni.