mkuu wazo zuri
kwanza kabisa watakiwa uwe na website so kwa kuanza fanya hivi anza kwa kufungua website...
waone
Ibang Net
watakusaidia kupata website nzuri na kwa bei nafuu...
pili kwa maoni yangu biashara ikiwa kubwa utahitaji kuwa na program yako mwenyewe
(kwanini wahitaji program?)
umesema kuwa unataka kuwa na organisation itakayokuwa ina deal na kusafirisha wanafunzi biashara ikiwa kubwa wanafunzi watakuwa wana book kwanini wanabook?? kwa sababu wanafunzi sio kila siku wanaenda kwenye mbuga za utalii mara nyingi ni kile kipindi cha holiday au weekend so hapo utakuta kuna kundi kubwa na shule nyingi zinataka kusafiri so hapo they will need to book sisi tutakutengenezea program katika website yako itakayomuwezesha mtu yeyote ku book service zenu akiwa sehemu yeyote duniani kwa sharti moja dogo tu awe na internet connection....
baada ya hapo utahitaji utengeneze corporate identity kama logo, jina la kampuni,
waone
Ibang Net watakufanyia hivyo vitu kwa bei nafuu
utahitaji utengeneze advertisement
inategemea na budget yako
it can be
print advertisement, billboard adv, redio or Tv advertsement...
waone
Ibang Net
kwa maelezo zaidi ni tu PM
au tuandikie kupitia
info@ibangnet.com
au piga simu nambari
+919980047826
Sasa mbona umetoa namba za India mkuu? Nilidhani mambo yote hapahapa bongo!
Sasa mbona umetoa namba za India mkuu? Nilidhani mambo yote hapahapa bongo!
Okay ukiingia katika website yetu kuna namba zetuSasa mbona umetoa namba za India mkuu? Nilidhani mambo yote hapahapa bongo!
is it for profit or not for profit. these two types of org are governed by different legislations.wana jf nisaidieni... nataka kufungua organization inhusiana na kusafirisha wanafunzi wa shule za sekondary kwenda kwenye vivutio vya utalii. je nifanye nini? au nisajili wapi? au nini kinatakiwa ili nisacceed na wazo langu?
for profitis it for profit or not for profit. these two types of org are governed by different legislations.