Habari wana JF. Poleni na Majukumu.
Naombeni msaada wenu. Naitaji kufungua biashara ya kuuza vifaa vya simu na simu, nina mtaji wa Millioni 2, naombeni mnifahamishe namna ya kuianza biashara hii ili ije kukuwa zaid hapo mbeleni. Pia nianza na nini,nifate nini.
Pia kama kuna mtu anafahamu sehemu nzuri ya kufungua biashara hii palipo na mzunguko wa watu itakuwa poa sana (Dar es salaam) na namna ya kupata frem sehemu iyo. Mimi ninaishi Dar Es salaam Pugu.
Pia kama kuna mtu mwenye wazo la biashara tofauti na iyo niliotaja kutokana na fursa au uitaji wa eneo flani naombeni pia mniambie.
Natanguliza shukrani Zangu.
Naombeni msaada wenu. Naitaji kufungua biashara ya kuuza vifaa vya simu na simu, nina mtaji wa Millioni 2, naombeni mnifahamishe namna ya kuianza biashara hii ili ije kukuwa zaid hapo mbeleni. Pia nianza na nini,nifate nini.
Pia kama kuna mtu anafahamu sehemu nzuri ya kufungua biashara hii palipo na mzunguko wa watu itakuwa poa sana (Dar es salaam) na namna ya kupata frem sehemu iyo. Mimi ninaishi Dar Es salaam Pugu.
Pia kama kuna mtu mwenye wazo la biashara tofauti na iyo niliotaja kutokana na fursa au uitaji wa eneo flani naombeni pia mniambie.
Natanguliza shukrani Zangu.