IT MAN
New Member
- Nov 30, 2012
- 4
- 2
Fursa nzuri, Je kidato cha sita hata kama kapata 0 fressh na awe na watoto wangapi? Maana kamaliza six na miaka 18 mpaka 45 = 27.Mimi ni msichana Mweny umri 31.Elimu Degree, nimeajiriwa serikalin, na nimkristo.
Nahitaj mwanaume ambaye Yupo tayar kuanzisha familia, awe na umri kati 31-45.Elimu angalau kidato cha sita na kuendelea. Njoo pm