Natafuta mume

Mimi ni msichana Mweny umri 31.Elimu Degree, nimeajiriwa serikalin, na nimkristo.

Nahitaj mwanaume ambaye Yupo tayar kuanzisha familia, awe na umri kati 31-45.Elimu angalau kidato cha sita na kuendelea. Njoo pm
Fursa nzuri, Je kidato cha sita hata kama kapata 0 fressh na awe na watoto wangapi? Maana kamaliza six na miaka 18 mpaka 45 = 27.
 
Pole sana dada ila hii hatua ya kutafuta mme ungeanza ukiwa na umr wa 25 nazani ungepata ila sasa hiv umechelewa....hao wanaume wa kuanzia age 31-40 wengi wao wameoa tayr na ambao baado ni wachache na wana watu wao tayr.....ila mungu ni mwema hakika utapata stay blessed
 
Umri tu nimepelea kidogo. embu punguza kigezo cha umri alafu njoo nikuwowe fasta.

Ila mimi ni mkulima wa matango, je utaweza kuishi kijijini?

-Kaveli-
 
kweli ndiohunitaki tena
MKE.JPG
?
 
Hao ndio wasichana waliokuwa machachari secondary,highschool,Chuo kabisaa ndio walikuwa na dereva wa bajaji,bodaboda,lecture,proffessor, Classmate mmoja wa kumfanyia homework na pedejee wa kumpa pesa. Huwezi kukuta umetoka secondary umetulia,unajituma na unaingia mpaka kazini 31 unatafuta mchumba...hatari sana hiyo...Mchumba wenzako wanaanza kutafuta wakiwa Chuo mwaka wa pili...wakimaliza chuo umeshasomana tabia na baadae akiingia kazini wanafanya maamuzi haraka
 
Yeah kwan huku ona enzi za sekenke?fiart za kutumia mkas zilivuta sana hiz scarnia 93
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom