Mungu anakuona ujuewanawake wazuri wazuri wameolewa, yamebaki manungayembe yanahangaika *2
Hahaaakuu nimecheka kwa sauti mpaka watu wameshtuka uo wimbowanawake wazuri wazuri wameolewa, yamebaki manungayembe yanahangaika *2
mbona upo ivyo lakin bashite tenaNamba yangu.. Bashite 715 bashite bashite 12 6 bashite... Nichek plz
We vipi hutafuti? Nipe namba wanguumeona ee??
Umeazaliwa 1969 , Leo unadai una miaka 31. Kuwa mkweli basi uni PM. Hata Mimi natafuta,47 si kitu mradi tukubaliane tujenge maishaMimi ni msichana mwenye umri 31. Elimu Degree, nimeajiriwa serikalini, na ni mkristo.
Nahitaji mwanaume ambaye yupo tayari kuanzisha familia, awe na umri kati 31-45.Elimu angalau kidato cha sita na kuendelea.
Njoo pm.
Mimi pia natafuta mke...... Kama upo tayar nitumie namba yako au email yakoMimi ni msichana mwenye umri 31. Elimu Degree, nimeajiriwa serikalini, na ni mkristo.
Nahitaji mwanaume ambaye yupo tayari kuanzisha familia, awe na umri kati 31-45.Elimu angalau kidato cha sita na kuendelea.
Njoo pm.
Bashite means zerombona upo ivyo lakin bashite tena