...Nakushauri usome vitabu vya mchungaji Trobtich, kimoja kinaitwa LOVE IS A FEELING TO BE LEARNED, I LOVED A GIRL NA I MARRIED YOU. Vitakupa picha nzuri japo najua mapenzi hayana shule. By Mwl Mpitagwa, Mtakuja Primary School
Natafuta mume wa kunioa, awe mkristo
Elimu: Diploma na kuendelea
Kazi: Awe na shuguli yoyote halali ya kumuingizia kipato,
Mwonekano: Asiwe mfupi sana na asiwe mnene sana.
Sehemu: Awe anaishi Dar, Moro, Pwani, Tanga, Moshi & Arusha
Umri: 28-32
WASIFU WANGU
DINI: Mkristo
Umri: 25
Kazi: Muajiriwa serikalini
Mkoa: Tanga
Muonekano: Mwembamba maji ya kunde urefu cm160
Note: Waalimu wa primary hawaruhusiwi
Aliye tayari na mwenye sifa ani PM
Everybody back home(KENYA) is yeaning to get a primary school teacher, while here in TZ ladies don't want them. Oookey, I thnk I know y; they are less educated. Lakini si bora kipato? Poor them!!
Hivi sie tulieishia la saba tutaoa kweli
Natafuta mume wa kunioa, awe mkristo
Elimu: Diploma na kuendelea
Kazi: Awe na shuguli yoyote halali ya kumuingizia kipato,
Mwonekano: Asiwe mfupi sana na asiwe mnene sana.
Sehemu: Awe anaishi Dar, Moro, Pwani, Tanga, Moshi & Arusha
Umri: 28-32
WASIFU WANGU
DINI: Mkristo
Umri: 25
Kazi: Muajiriwa serikalini
Mkoa: Tanga
Muonekano: Mwembamba maji ya kunde urefu cm160
Note: Waalimu wa primary hawaruhusiwi
Aliye tayari na mwenye sifa ani PM
ww kwa hayo masharti utakuwa unatandikwa kila kukicha maana mwenyee haupo serious, utawakataje wa primary, unataka mume kwel ww!!