Natafuta mtu mzima aged 45 and above wa kuchat naye am so lonely

Nikama umeingia mawazoni mwangu ukaleta post hii. Maana nami nahitaji mtu wa aina yako, ila umekosea hujasema unaishi wapi ingekua rahisi kuku-Pm.
 
Pole masumbuko kwa narrow thinking capacity kwamba nina nini cha ziada cmu tu niliyonayo najua hata nusu ya bei yake huna ww.nimekujibu tu......
 
Unaweza kuwa sahihi kuhusu hiyo simu.Nadhani ungeenda EXTRA MILE kutaka kujuwa kwa nini nimeuliza maswali yote hayo.Anyway nikushukuru na bado niko interested kama unafanya ibada
 
Any one interested na mimi ani-pm am lonely nahitaji mtu serious atakaye nipenda na kunijali cause nimemiss kuenjoy mapenzi miaka mingi now.

If not interested pita kimya

Naona hii ilinipita. Je ushampata huyo mtu wa kuchat nae? Je upweke umekutoka?
Kama bado nijulishe japo kwa pm ili nijitambulishe rasmi.
 
Napenda kuwajuza kuwa huu uzi umefungwa rasmi asanteni kwa kuhusika kwenu mliojitokeza.....na mliocomment!
 
Back
Top Bottom