Salaam!
Mimi ni mtanzania, kwa sasa naishi Japan kwa muda. Natafuta mtu ambaye ana kusudia kununua gari au bidhaa yoyote toka hapa Japan ili tusaidiane ktk transactions za pesa kwa faida ya wote wawili.
Mimi: nakusaidia kulipia gari lako hapa japan kwa kutumia YEN, na hivyo nakuondolea risk ya pesa yako kutapeliwa/kupotea na pia kuepuka gharama za kutuma pesa.
Wewe: Badala ya kutuma USD Japan, una ziweka ktk account yangu ya Tz, na hivyo mimi nita faidika kwa kuto badilisha pesa yangu YEN-USD.
Ili kujenga trust, nita kutumia details muhimu kuhusu mimi, nawe uta zihakiki kujilidhisha. Pia, nita kuelekeza ofisi ya mwanasheria hapo Dar es salaam; mwanasheria ata kusaidia kuku hakikishia usalama wa pesa yako na ikibidi kwa maandishi. Tuta amua, nani alipe kwanza, ili mradi uwe na cash. Naweza nika lipia kisha nawe uka lipa baada ya kulidhika kuwa malipo yako yame fanyika, but hili litafanyika chini ya advocate ili kusiwe na utapeli.
Una weza nitumia namba yako ya simu nami nita kupigia mara moja tuongee. Au kama una tumia Face book bado tuna weza rahisisha mawasiliano. Bidhaa yako isizidi thamani ya US$ 6,500/-.
Asante sana na tafadhali kama una nia nijulishe tufanye mambo fasta, usihofu kabisa kwa maana tayari nime fanya na mtu mwingine na haku kuwa na shida. Wewe nitumie details zako mie nita ku guide tu.
Mimi ni mtanzania, kwa sasa naishi Japan kwa muda. Natafuta mtu ambaye ana kusudia kununua gari au bidhaa yoyote toka hapa Japan ili tusaidiane ktk transactions za pesa kwa faida ya wote wawili.
Mimi: nakusaidia kulipia gari lako hapa japan kwa kutumia YEN, na hivyo nakuondolea risk ya pesa yako kutapeliwa/kupotea na pia kuepuka gharama za kutuma pesa.
Wewe: Badala ya kutuma USD Japan, una ziweka ktk account yangu ya Tz, na hivyo mimi nita faidika kwa kuto badilisha pesa yangu YEN-USD.
Ili kujenga trust, nita kutumia details muhimu kuhusu mimi, nawe uta zihakiki kujilidhisha. Pia, nita kuelekeza ofisi ya mwanasheria hapo Dar es salaam; mwanasheria ata kusaidia kuku hakikishia usalama wa pesa yako na ikibidi kwa maandishi. Tuta amua, nani alipe kwanza, ili mradi uwe na cash. Naweza nika lipia kisha nawe uka lipa baada ya kulidhika kuwa malipo yako yame fanyika, but hili litafanyika chini ya advocate ili kusiwe na utapeli.
Una weza nitumia namba yako ya simu nami nita kupigia mara moja tuongee. Au kama una tumia Face book bado tuna weza rahisisha mawasiliano. Bidhaa yako isizidi thamani ya US$ 6,500/-.
Asante sana na tafadhali kama una nia nijulishe tufanye mambo fasta, usihofu kabisa kwa maana tayari nime fanya na mtu mwingine na haku kuwa na shida. Wewe nitumie details zako mie nita ku guide tu.