Nipo dar na naitwa iddi natafuta mwanamke mkweli n mwenye mapenzi ya kweli ambaye atakuwa mke wangu na awe mnene na namba yangu y
Ushapiga tayari?Mbona hupatikani?
Aisee😂Ndio mkuu😂😂😂
Nimwambie AKATAE NDOA
Uckate tamaaDah m mnene ila nmechelewa kuona post🥹
Uckate tamaa
Kwa umri huo una haki ya kutoa bandiko.Nipo dar na nahitaji mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano ambaye atakuwa mke wangu. Muhimu awe mkweli na muamunifu na umri wake usiZidi miaka 54 Mimi umri wangu ni miaka 60 na tuwasiliane basi tuweze fahamiana
AminaKwa umri huo una haki ya kutoa bandiko.
Hii ni 'kesi maalum". Kila la heri mzee.
Mbona unamtisha handsome wa watu we?Una pesa?? Wanawake hawaangalii umri humu wao wanataka pesa.
Kama kipension chako kinakuwasha juwa kitapuswa chote uachwe ufe peke yako na kisukari na pressure yako.