Hamna mi namtaka huyu namtumza Hadi nife anizike🏃🏃🏃Miaka 60 anataka shogaetu awe mjane mapema hivyo au atapata ulisii
Awe na hela ili upate ulisii la sivyo utapakwa ugoro tu dadaanguHuyu mi ndio namtaka,naenda kujiotea moto tu aliyeokita kuni sijui Yuko wapi!😁😁😁
Huyu lazima anazo,Wala ugoro hawapo JF🤔Awe na hela ili upate ulisii la sivyo utapakwa ugoro tu dadaangu
Aweeee siku hizi hadi wachunga mbuzi wapo humu Akina nanii wale umewasahau???Huyu lazima anazo,Wala ugoro hawapo JF🤔
Oyaa babu la toyoo ulikua umefungwa kifungo cha miaka 30 jela ndo umetoka auuNipo dar na nahitaji mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano ambaye atakuwa mke wangu. Muhimu awe mkweli na muamunifu na umri wake usiZidi miaka 54 Mimi umri wangu ni miaka 60 na tuwasiliane basi tuweze fahamiana
RelaxUzi kama huu angeleta jinsia ke ndio mngeona dunia haina usawa
Angekutana na kila aina ya kejeli
Nwei,kila la heri
😁😁SijasikiaAweeee siku hizi hadi wachunga mbuzi wapo humu Akina nanii wale umewasahau???
Wanawake ni tofauti na wanaume kimaumbile,wanawake mna Menopause ambapo via vya uzazi husinyaa na ashiki ya mapenzi hupungua kwa kiwango kikubwa,tofauti na Wanaume ambao tunaendelea kuwa active kwenye sex hata uwezo wa kutungisha mimba unabaki pale pale.Uzi kama huu angeleta jinsia ke ndio mngeona dunia haina usawa
Angekutana na kila aina ya kejeli
Nwei,kila la heri
Vp Madame B... Na wew unatafuta mume?Kila la kheri.
Vigezo vimetuangusha.
Yaani kalenga penyewe....sema huyu mafao yatakuwa yako kwenye process.Mie kanivutia huyu nimehisi kama mstaafu vile😁😁😁😁
Sawa.. ngoja nikuchek PMNdio, ila awe mwenye pesa
Mwanamke matunzo...💅
Karibu..🪘🥺💰🥤🎷🎶🪘Sawa.. ngoja nikuchek PM
🤣🤣🤣🤣 nikipigwa utakuja kunigombelezea😁😁Sijasikia
Sio wote mmh mie simtaki mzee mnooUna pesa?? Wanawake hawaangalii umri humu wao wanataka pesa.
Kama kipension chako kinakuwasha juwa kitapuswa chote uachwe ufe peke yako na kisukari na pressure yako.
Hutaki pesa za pension??Sio wote mmh mie simtaki mzee mnoo