Airforce
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 299
- 96
Habairi wana JF, Pasi na Shaka Mwaka ndio unaisha, na kila mtu ni wakati wa kujitathimini mafanikio, kasoro na mapungufu mbalimbali katika kutekeleza mipango aliyojiwekea mwenyewe mwanzoni mwa MWAKA.
Katika mipango yangu sijafanikiwa kuoa na Nina miaka 33 na sifa zifuatazo
1. Mrefu sio mweusi na sio mweupe
2. Nina degree
3. Nimejiajiri (kampuni)
4. Mkristo
5. Sivuti kitu chochote
6.sio mlevi
7. Sio mzinzi
8. Mchamungu
9. Nafanya kazi kwa bidii
10. Najitegemea
11. Ninajali
12. Msafi
SIFA ZA MWANAMKE NINAE MUHITAJI
1. Mrefu wastani
2. Awe msafi sana
3. Elimu kuanzia diploma kwenda MBELE
4. Mwenye uelewa mpana wa maisha
5. Mkristo hasa mkatoliki
6. Awe anavutia
7. Awe msikivu na anaeshaurika
8. Mcheshi na anependa wageni
9. Awe mcha Mungu
10. Asiwe na MTOTO
11.asiwe malaya
12. Asiwe mhaya wala mrangi au wairaki samahani kwa hiki KIGEZO Ila lazima
13. Awe hajawahi fungwa
Kwa atakae kua tayari ani PM ni kwa mtu serious Tu
Katika mipango yangu sijafanikiwa kuoa na Nina miaka 33 na sifa zifuatazo
1. Mrefu sio mweusi na sio mweupe
2. Nina degree
3. Nimejiajiri (kampuni)
4. Mkristo
5. Sivuti kitu chochote
6.sio mlevi
7. Sio mzinzi
8. Mchamungu
9. Nafanya kazi kwa bidii
10. Najitegemea
11. Ninajali
12. Msafi
SIFA ZA MWANAMKE NINAE MUHITAJI
1. Mrefu wastani
2. Awe msafi sana
3. Elimu kuanzia diploma kwenda MBELE
4. Mwenye uelewa mpana wa maisha
5. Mkristo hasa mkatoliki
6. Awe anavutia
7. Awe msikivu na anaeshaurika
8. Mcheshi na anependa wageni
9. Awe mcha Mungu
10. Asiwe na MTOTO
11.asiwe malaya
12. Asiwe mhaya wala mrangi au wairaki samahani kwa hiki KIGEZO Ila lazima
13. Awe hajawahi fungwa
Kwa atakae kua tayari ani PM ni kwa mtu serious Tu