MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
JF sasa imegeuka mbao za matangazo za kutafutia wenza.
Vijana siku hizi hawajui tena kutongoza!
Dunia tunapita!
Wako busy jf hawatoki nje.
Mkifanikiwa au mkishindwa mrejesho tafadhali.
JF sasa imegeuka mbao za matangazo za kutafutia wenza.
Vijana siku hizi hawajui tena kutongoza!
Dunia tunapita!
Kwa mtazamo wangu mtu anae tafuta MKE/MUME kwenye mitandao kwa haraka tu hua namchukulia kama kicheche tena wakuogopwa sana.
Binafsi hainiingii akilini unakuta mtu ana 24 or 45 years eti nae anatafuta mke mtandaoni anaakili timamu huyu?
Hadi anafikia age hiyo alikua anaishi angani? In this case i think there 2 things involve..........
(1) .Yawezekana hawayajui mahitaji yao ya kimwili ,kijamii na kiroho
(2)..Kutamani kupata yale mapenzi kama yale ya kwenye VIDEO na kudhani waliopo humu jukwaani ndio wenyewe .
Au ni MAFATAKI ya laana hata yakapoteza sifa kwenye jamii husika.
sasa naamini kwamba nimeshazeeka, i wish ningekuwa between 19-24,sasa hivi ningekuwa nimeshaolewa:help:
luking for quality assurancewajemeni mtu ana miaka 34 anatafuta binti wa chini ya 24???????whatsup with 10 years age difference??????:mimba: