hawana gharamaKwa nini mwanachuo? Unataka kumsomesha?
Acha kutuaibisha wanaumehawana gharama
Kwa nini mwanachuo? Unataka kumsomesha?
Kumbeee😂😂Anatafuta kitonga, free pumby
Sawa kila la kherihawana gharama
😂😂😂😂 ulisikia wapi mcheza dubwi?hawana gharama
Hao wameliwa na lectures tayari mkuu nenda kale makumbo kila la heriMimi ni Me
Umri 33
Natafuta mchumba mwanachuo aliyopo darisalamu.