Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wangu

Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Ili usiangukie pua omba toba kwa kutoka na mume wa mtu,ondoa vigezo vyako vya kibinadamu vya mume unaemtaka na acha kutafuta mchumba kupitia mitandao hii,miaka 25 unatosha kujua mume anatafutwaje acha ushetani wa kutoa sifa za mume usiyemjua,maana mpaka unaandika hapa ni MUNGU pekee ndo anaemjua mumeo,hakumuumba afae kwa vigezo vya akili yako
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC

Hivi vyuoni sasa hivi degree wanawapeni kwa vigezo gani, au na wewe ni former St. Joseph, yaani ujue mimi siwaeleweni kabisa ninyi kina dada, au mlipokuwa vyuoni kazi yenu ilikuwa ni ku-date na IT ili wawape GPA? Mna-bore sana siyo siri, hiyo degree uliyonayo nahisi ni degree ya kwenye thermometre.
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
come PM
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Nakupataje sasa nijaribu bahati yangu???
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
niny what about the man having more money? Suck my dick.
 
Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Kweli uko serious au ndiyo mwisho wa umakini wako
 
Kweli watu hatuelewi kamwe
Aliyezoea mume wa mtu kamwe huwezi muoa ukiwa huna mke,

Kiufupi dada umekosa sifa zote za kuwa mke wa mtu ambaye ndo anaanza maisha

Na kwa sifa ulizonazo kamwe na unazozitaka mwanaume huyo bado hajapatikana aseee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom