Cumudia
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 505
- 843
Hahahhaha umenikumbusha wakati nipo benki fulani K'njaro kama afisa mikopo mwanangu mmoja alitakaga demu wa namna hiyo akampata kitoto kizuri kinaitwa Vee hahahah mbona aliimba haleluyah.....mpaka nikamwambia jombaa hapo mpira lazima otherwise utaenda na umeme acha uboya ila pana totoz pasua kichwa..sasa ngoja upate kurumbembe wewe naona utaimba hosana hosana....!!mimi natafuta demu kicheche demu aliye shindikana