Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natafuta mchumba wa kuwa naye serious nimechoka kuwa na mume wa mtu naitaji wanguMimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Alikusomesha huyo mume wa mtu.
nenda kamtafte SOMALIA!!!Mimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
good trial! linguisticallyIam truely sweet and i have a good heart i dont want to date one's husband i wish to have my own which is why i have posted this, but people seem to take it as a joke it pisses me off
can't try to think that some may be trying to see if u r a so called wf material? watch out your tongue if u r really serious with your case! ok???Iam truely sweet and i have a good heart i dont want to date one's husband i wish to have my own which is why i have posted this, but people seem to take it as a joke it pisses me off
oryomunyamahanga'iwe ndenga. waandikak'yao wamawe!!!Uwaitu uliyo
teheeeMbona mwandiko wako ni kama umesoma UDOM bi dada?
Ila wewe jamaniaH HAHAHAHAHA kaka mtoto anataka anaejua kupiga pamba,
Hiyo tai ukija nayo mjini utavulia ubungo,
Mana ni style ya mavazi ya watu wa namanyele,
Kimjini mjini tunavaa tai kama za guardiola au mourinho, zidane pia, tai inakuwa kama kamba
ona sasa unavyo jiharibia sokon. ujui kuwa upo mnadani??? tulia ivoivo, ule za uso. maana wengne wanakupima kauli zako ili wachukue hatua. ila kama ulimi ndio huu, hakika menopause itakufikia haujafikia malengo. i.e; utaishia kuliwa na kutemwa tu! TRUST ME!!!ULINISOMESHA WEWE?
pole sanaa hata hela huna?? maana mbadala wa uhendsome ni hela nyiiingiNina vigezo vyote kasoro handsome
Soon utapata hitaji la moyo wako mamii .... wala usiwe na shaka ..... jamani wenye vigezo hebu nenden mwaitwaMimi ni msichana mrembo umri wa miaka 25 na nimesoma nina degree naitaj kijana msafi handsome awe anafanya kazi umri kuanzia miaka 30-38 mkristo.....pia awe anajua kuvaana asiye mbaili anijali nitamjali na kumpenda kwa dhati...alie serious Ani PM tuwasiliane....PLEASE AWE ANAFANYA KAZI NA AWE ROMATIC
Kwa nini hunitakihahahahaha simtaki sasa