Wakuchakachua
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 346
- 9
Natafuta mchumba jinsia ya kiume, sina sifa nyingi ni moja tu aweanajua majukumu yake kama baba wa familia.
Elimu hata ka dergee kamoja kananitosha akiwa juu ya hapo yote heri.
Awe mcha mungu. Muonekano wa nje sijali sana.
Kwa atakaye ani PM (am serious):A S 8:
Elimu hata ka dergee kamoja kananitosha akiwa juu ya hapo yote heri.
Awe mcha mungu. Muonekano wa nje sijali sana.
Kwa atakaye ani PM (am serious):A S 8: