Natafuta mchumba (mke)

J4zo

New Member
Aug 6, 2019
4
3
Natafuta mchumba. Sifa zangu: maji ya kunde, miaka 32, nina degree ya mtaani, sijaajiriwa, mfanyabiashara: sifa za mke: maji ya kunde, miaka 20-25, kidato cha nne lakini awe na taaluma ya dawa za binadamu, mkristu, awe na uwezo wa kuishi hata kijijini. Kwa aliye serious ani PM.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom