Ningeku-PM lakini hilo jina lako mh..
ok call 0715 778889
Tuseme ujiite: mkunde oko, Psalm31, Cutsey, Asali wa moyo, Mpenzi wa kweli, au jina lingine zuri tu!
sifa mbazo mi nigependa ni:
- of course asizidi 25 yrs.
- mkristo na siyo mkristo jina.
- mwenye mawazo ya kimaendeleo/kibiashara (for lack of a better example, akae kimachame zaidi wen it comes to a business mind)
- Encouraging
- atoke popote except coastal line (ni mtazamo tu, msinitupie mawe) na asiwe Mmachame (huu ni mtazamo wa baba yangu, ni wa zamani jamani, mumuelewe tu! av tried to convince him amekataa kubadili mtizamo)
- Labda tuanzie hapo..any hopes!??
-
ok call 0715 778889
Ndio niko single
ukiona hivyo ujue labda Mungu anakuepusha na kitu Sound za Asubuhi Asubuhi hata kabla hamjaanza..... Inabidi mwanzo uwe all roses... and kisses... sasa mwanzo ukiwa mgumu.....:nono:mbona haipatika ni jamani..............
ukiona hivyo ujue labda Mungu anakuepusha na kitu Sound za Asubuhi Asubuhi hata kabla hamjaanza..... Inabidi mwanzo uwe all roses... and kisses... sasa mwanzo ukiwa mgumu.....:nono:
mmmh kweli mungu ni mwema kwa wote wamwendeao kwa moyo wa utakatifu nami naamini hapa hapa JF atatoka mume maana nilishaomba kwa bwana naye ni mwaminifu kwangu..........ndivyo ninavyo anza mwaka kwa kazi na maombi tu.....na hii ni safari yangu katka kutafuta mume mwema.........oloooolllooooo:sleep:
Mimi ni jiwe kuu walilolikataa waashi.
si kweli kweli babawatoto......... natafuta hilo jiwe nilione:wink2:
weka basi skype contact zako mbon aumezi freeeezzzEwaaa, sasa umefika na utafurahi kunifahamu, na maneno kama ninge....kujua mapaema..... hayataisha maishani mwako, believe me!
Karibu!
Sijui niseme coz naona AIBU!!!
Ni PM basi nikupe sifa za ENGINEER!!!
Hivi hi JF kuna wakaka single kweli??mbona mi siwaonagi wakichangamkia opportunities ka hizi, my dear ukimpata uje useme ili na ma-single ladies wengine warushe ndoano zao..............LOL
tena i was soooooo interested na ma technic skills fanya faster bas uni PM.........
Basi ni vizuri tutengeneze JF Single club,kama wakaka wote hap wako single halafu hapa hapa watu wapo???hivi nani hatofurahi kuambiwa Paka Mweusi na Michelle walikutana hapa JF??ikaanza kama utani then ikawa kweli?manake bwana hamna sehemu maalum ya kukutana na mwenzi wako?????:A S 465::wink2: Mods please,mtoto wetu wa kwanza tunamuita Jamii Forum....................LOL
tena i was soooooo interested na ma technic skills fanya faster bas uni PM.........