Mwenzetu kaomba maoni kuhusu jina na siyo aina ya shughuli atakazo kufanya au walengwa wa shughuli hizo.
Mkuu unayeomba ushauri.... jina litakalofaa napendekeza kwanza ingia kwenye data base ya NGOs...angalia website ya Foundation for Civil Societies utaona NGOs mbalimbali na majina au uliza ofisi ya Makamu wa Rais kitengo kinachoshughulika na NGOs - hii itakusaidia usitumia jina ambalo tayari lipo.
Mwenzetu kaomba maoni kuhusu jina na siyo aina ya shughuli atakazo kufanya au walengwa wa shughuli hizo.
Mkuu unayeomba ushauri.... jina litakalofaa napendekeza kwanza ingia kwenye data base ya NGOs...angalia website ya Foundation for Civil Societies utaona NGOs mbalimbali na majina au uliza ofisi ya Makamu wa Rais kitengo kinachoshughulika na NGOs - hii itakusaidia usitumia jina ambalo tayari lipo.
Kuboresha Maisha ya Watu wa Kawaida wa kila rika nchini Tanzania. tumia vifupi hivyo nilivyo bold.
NIMEJARIBU KUWEKA HIZO INITIALS...MBONA MIMI HOI!! KU..WAKA??Kuboresha Maisha ya Watu wa Kawaida wa kila rika nchini Tanzania. tumia vifupi hivyo nilivyo bold.
Tunataka kufanya projects mbalimbali katika nyanja tofauti kutegemea na umuhimu au ulazima wa kila mahali maalum katika nyanja nilizotaja hapo juu.
Asanteni sana wadau, nimeshapata jina na sasa tupo njiani kusajili NGO. Pindi ikipata usajili, nitawajulisheni jina na projects ambazo tutaanza nazo humuhumu kwenye tuta kwa vile nategemea kupata wataalamu wa nyanja husika kutoka kwenu. Kila la heri.
He.... Mimi nikajua aliyeomba ni Dingswayo!!! au mko pamoja???
I smell fish aisee
Tafadhari usiseme kwa nguvu mods watasikia, mkuu alijisahau..kwikwikwi