mikokominunu
New Member
- Apr 23, 2012
- 1
- 0
Usijali utapata tu .Muda ukifika hakuna atakayezuia riziki yako .Ila nakushauri usinunue kazi inaweza kuwa feki au itakusumbua tu.vijana wengi wanata kazi kwenye majiji makubwa nakushauri uombe mikoani na usichague kazi,makazini ndiko kuna chanel.so never give up.